Aisatu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 781
- 333
Unawajua Sleeper cell?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Siwajui aise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawajua Sleeper cell?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hata ni nafikiria hiloYaelekea alisha potezwa maana haonekani humu!!
Kama kuna kaukweli mkuu maana kila aya ina ukweli ndani yake 🤔🤔Huyu jamaa hapana ,nooo nooo ..sio hali yakawaida hii .
Nahis nimoja ya watu wanaotupangiaga matukio hapa nchini ..
Hii zaidi ya Utabiri . Karama hizi zilishatoweka.
[emoji23][emoji23][emoji23] nmesoma huu uzi toka mchana. Hii ni mara ya 9 .Nahisi atakuwa Magufuli mwenyewe ndiyo mwenye hii Id walai.....
Hawa majasusi uchwara kama wangekuwa na akili nyingi wangeisaidia hii nchi iondokane na umasikini wa kutisha.Huyu britanicca nyuzi na post zake usomage kwa umakini sana lazima utatoka na moja la ziada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hamna ambacho hakijatokea ktk haya aloyasema humuKama kuna kaukweli mkuu maana kila aya ina ukweli ndani yake [emoji848][emoji848]
Huyu jamaa britaniccaHuyu britanicca nyuzi na post zake usomage kwa umakini sana lazima utatoka na moja la ziada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin hata wewe najua upo karibu na jiko jengo lile jeupe mithiri ya meli, ambako mtu akitaka kukuona lazima aje siku za kawaida isipokuwa ijumaa maana akijichanganya watamuona jumatatu,Huyu jamaa britanicca
alipaswa awe kule, basi tuu, ila pia kwa vile huwezi jua who is who, you never know.
P
Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.There is no such a thing as top secrecy. Mambo yanatokea ili mambo yaweze kwenda.
Na sitakuja kuisema sehem maana wengi hawaijui, anayejua hii siri ni wachache ambao walipanga kwa Mzee Telemoni uswahilini miaka ya 76-79 jirani na Machalila, R.I.P stanslas, Yoseph ugua pole majeraha ya mapanga,Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.
P
Ile ilikuwa kamba tuu, ila kiukweli mimi nilipaswa niwe miongoni mwao kwa sababu dingi na maza wote ni watu wao, kosa langu ni kuipenda fani ya Utangazaji mpaka kesho.Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.
P
Hapo ndo uliamua kuwa huru maana kazi ile siyoIle ilikuwa kamba tuu, ila kiukweli mimi nilipaswa niwe miongoni mwao kwa sababu dingi na maza wote ni watu wao, kosa langu ni kuipenda fani ya Utangazaji mpaka kesho.
P.
Ile ilikuwa kamba tuu, ila kiukweli mimi nilipaswa niwe miongoni mwao kwa sababu dingi na maza wote ni watu wao, kosa langu ni kuipenda fani ya Utangazaji mpaka kesho.
P.
Acheni utani asee...iliwezekana vipi kuwa kama ilivyo sasa Kama ishu ndio ilikuwa hivyo? Mimi hii kitu ngumu kuamini.Mkuu Rohojin, kwenye siri, kuna confidential, secret, ina seal nyeusi, classified secret ina seal ya blue na top secret in seal nyekundu. Hivyo top secret zipo, hizo data za Katto alizonazo britanicca ni top secret.
P
Wewe Mkuu britanicca, una hatari sana, ukiisha anza kutaja majina, mitaa na miaka, hizi ni lead za kuwaongoza watu kwa Katto, haya ya kutaja Mzee Telemoni uswahilini miaka ya 76-79 jirani na Machalila, R.I.P stanslas, Yoseph etc etc ya nini?. Nimeshauri ukimtaja Katto, just say Katto, not a word more, not a word less.Na sitakuja kuisema sehem maana wengi hawaijui, anayejua hii siri ni wachache ambao walipanga kwa Mzee Telemoni uswahilini miaka ya 76-79 jirani na Machalila, R.I.P stanslas, Yoseph ugua pole majeraha ya mapanga,
Hawa ndo wanamjua katto lakin ngoja niishie hapaaaa
Hahahahah Mbona umejishtukia boss wangu hahahahahNo Hutaki Unaacha ni mtu wa jikoni, kule kule kunako, Pasco wa JF ni lumpenproletariat mmoja mganga njaa fulani, anayegangia njaa kwenye ukanjanja wa habari.
P
Katika ishu ambayo hataki ni jina la kato kujulikana,
Hili la Katto mlianza kulitaja kwenye uzi gani nikaunganishe data.Usiwe na wasiwasi, so far wanaomjua Katto humu jf ni mimi tu na wewe, na kitu kizuri ni Katto mwenyewe hajui kuwa kuna watu wanamjua, hivyo rest assured it's ok.
P