Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Ni zamu ya Wazanzibar na waislamu pia, hakuna wa kuligeuza hili 2025.
Unajidanganya. Huna ujualo bwana mdogo.

Hata huyo Mwinyi wako ni PAZIA tu — Yaani ni KANYABOYA kwa lugha nyingine.

Walio nyuma ya Mwinyi ndio wenye mamlaka ya kweli.

You are simply a controlled mindless zombie who is there to clap the hands to the advantage of the cabals.
 
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa:
"Tanzania itatawaliwa kidikteta"
Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi sana kwa anayependa demokrasia kunibeza na kuniona kama naota.

1. Kwanza kuna uwezekano mkubwa Rais ajaye ataingia madarakani kwa utata nikimaanisha kutakuwa na mizengwe katika utoaji wa matokeo kwani hali halisi inajionesha wazi kuwa kuna mvutano mkubwa wa vyama viwili na hakuna kinachokubali kuwa kimeshindwa ki-haki.Endapo mgombea wa chama tawala akashinda basi chama kikuu cha upinzani kitatumia nguvu ya umma ili kupata sapoti wakati aliyejiona kashinda kwa haki atakimbilia ikulu na kushawishi dola kulinda ushindi wake kadri wawezavyo.Tukumbuke yaliyozikumba nchi za :LIBYA, IVORY COAST, LIBERIA, NIGERIA, ZIMBABWE, KENYA, VISIWA VYA COMORO, MISRI na TUNISIA.

2. Pili ni ahadi atakazozitoa hususani zile za kushughulikia "MAFISADI". Ili kupambana na aliyekuzidi kifedha lazima uchukue fedha zake kwa nguvu hivyo atataifisha mali za waliosemekana ni wahujumu uchumi au mafisadi. Akiwa yupo kwenye hali hiyo lazima watamwinda hivyo itamgharimu kuwa dikteta katika kupambana na mafisadi ikiwa ni pamoja na kunyonga baadhi yao ili kuweka fundisho. Pia atajikuta analipa kisasi cha mateso yote yaliyompata katika harakati za kuingia ikulu.

3.Suala zima la maendeleo haliendani na kuwapa watu uhuru wa kukaa mijini na kuendeleza masuala kama ya kupiga debe, kutembeza vitu mijini, kuuza na kula madawa ya kulevya, polisi wa barabarani kupokea rushwa, maafisa wa TRA kusamehe kodi na kutoa vibali kwa njia za panya, viongozi wa serikali kutumia ofisi zao kama kampuni zao! Yote haya yatasababisha rais ajaye awe dikteta na mkatili kwa wazembe wote wanaokwamisha matarajio yake, ikiwa ni pamoja na kuwafurutisha vijana wote mijini na kuwafukuza kazi wazembe wote.

4. Suala zima la ushawishi wa dini, endapo ataegemea dini moja basi atajikuta yupo kwenye wakati mgumu kwani atajikuta amegeuka gafla na kuwa adui wa dini nyingine hivyo kujikuta akichukua maamuzi ya kibabe ili kukabiliana na upinzani kutoka dini fulani. Suala kujiunga na dini ya mashetani au "FREEMASONS" litakuwa jambo la kawaida na watu wengi wenye kupinga serikali watatoweka na wasijulikane wapo wapi.

5.Ushawishi wa nchi za magharibi; hili nalo ni tatizo ambalo nitafanya nchi isitawalike endapo Rais ajae ataamua kufuata matwakwa ya raia wake kwenye masuala la uwekezaji, ajira, ugawaji wa ardhi, kodi, na utaifishaji wa mali za umma kama viwanda, mashamba makubwa, n.k.na endapo atawageuka wananchi na kusikiliza matakwa ya nchi za magharibi basi atajikuta amepitisha sera ya ndoa za jinsia moja, biashara haramu ya siaha, urutubishaji wa nyuklia. Hali hii itapelekea wanachi waanze kumchukia na atajikuta anatumia nguvu za dola kulazimisha wananchi wakubali sera zake.

Pia kuna mambo mengine kama kuibuka vyama vya siasa vyenye nguvu vinavyotaka kumtoa madarakani kwa nguvu na atajikuta akiwasweka rumande wapinzani wengi ambapo itachafua hali ya hewa ya nchi. Pia utata wa mgawanyiko wa wabunge maana kuna kila dalili vyama viwili vyenye ushindani kugawana sehemu kubwa ya idadi ya wabunge na hivyo kumlazimisha Rais kuwa na wakati mgumu wa kuvunja bunge zaidi ya mara moja kwenye kipindi cha miaka mitano.

Pia suala la ajira litaendelea kutesa nchi na ongezeko la wasomi itakuwa pia tatizo hivyo itamlazimu kutumia sheria kali na za kibabe ili kuendesha utawala wake.

Vyombo mbalimbali vitanyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao hii itapelekea vyombo vya habari vya magharibi kumuulika nchi na hivyo hali kuwa mbaya zaidi.

Swali la kujiuliza, Rais ajaye atakuwa nani ?

Ni vigumu kupata jibu la moja kwa moja ingawa watu wengi wanatazamia kuona sura mojawapo kati ya hizi:
- Zito Kabwe,
  • Dr. Willbrod Slaa,
  • Dr. Asha Rose Migiro,
  • Edward Lowassa.
  • Samwel Sitta
  • Prof. Ibrahim Lipumba.
  • Bernad Membe, na
  • John Pombe Magufuli
.

Kwanini Watanzania wengi wanategemea kati ya watu hawa mmoja wapo atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015?
Jibu kubwa na la msingi ni suala zima la uwajibikaji na kujituma.

Kwanini nasema hivyo?
Ukiangalia sura zote ni watu wachapa kazi, wanajituma na wenye maamuzi magumu kwa masuala nyeti ya nchi. Ingawa kila mmoja ana mapungufu yake lakini ukweli bado unabaki pale pale wanauwezo mkubwa wa kulifikisha taifa pale Watanzania wanapotaka ikiwa watatekeleza majukumu yao ipasavyo.

Bado suala la wapinzani kuungana na kumsimamisha mgombea mmoja litakuwa ni ndoto. Kwanza utofauti wa sera na mawazo yao vinakinzana. Pia kuna suala zima la itikadi ya chama na mitazamo. Wapinzani wamejifunza mengi kutoka kwa jirani zao Kenya. Hivyo hawapo tayari kuungana na kuanza kung'ang'aniana madaraka ni bora kila mmoja ashiriki kwa nguvu zake na ashinde kwa nguvu zake.
Wewe ni mpiga ramli?? Duuh! Yote uliyotabiri yametimia!!
 
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa:
"Tanzania itatawaliwa kidikteta"
Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi sana kwa anayependa demokrasia kunibeza na kuniona kama naota.

1. Kwanza kuna uwezekano mkubwa Rais ajaye ataingia madarakani kwa utata nikimaanisha kutakuwa na mizengwe katika utoaji wa matokeo kwani hali halisi inajionesha wazi kuwa kuna mvutano mkubwa wa vyama viwili na hakuna kinachokubali kuwa kimeshindwa ki-haki.Endapo mgombea wa chama tawala akashinda basi chama kikuu cha upinzani kitatumia nguvu ya umma ili kupata sapoti wakati aliyejiona kashinda kwa haki atakimbilia ikulu na kushawishi dola kulinda ushindi wake kadri wawezavyo.Tukumbuke yaliyozikumba nchi za :LIBYA, IVORY COAST, LIBERIA, NIGERIA, ZIMBABWE, KENYA, VISIWA VYA COMORO, MISRI na TUNISIA.

2. Pili ni ahadi atakazozitoa hususani zile za kushughulikia "MAFISADI". Ili kupambana na aliyekuzidi kifedha lazima uchukue fedha zake kwa nguvu hivyo atataifisha mali za waliosemekana ni wahujumu uchumi au mafisadi. Akiwa yupo kwenye hali hiyo lazima watamwinda hivyo itamgharimu kuwa dikteta katika kupambana na mafisadi ikiwa ni pamoja na kunyonga baadhi yao ili kuweka fundisho. Pia atajikuta analipa kisasi cha mateso yote yaliyompata katika harakati za kuingia ikulu.

3.Suala zima la maendeleo haliendani na kuwapa watu uhuru wa kukaa mijini na kuendeleza masuala kama ya kupiga debe, kutembeza vitu mijini, kuuza na kula madawa ya kulevya, polisi wa barabarani kupokea rushwa, maafisa wa TRA kusamehe kodi na kutoa vibali kwa njia za panya, viongozi wa serikali kutumia ofisi zao kama kampuni zao! Yote haya yatasababisha rais ajaye awe dikteta na mkatili kwa wazembe wote wanaokwamisha matarajio yake, ikiwa ni pamoja na kuwafurutisha vijana wote mijini na kuwafukuza kazi wazembe wote.

4. Suala zima la ushawishi wa dini, endapo ataegemea dini moja basi atajikuta yupo kwenye wakati mgumu kwani atajikuta amegeuka gafla na kuwa adui wa dini nyingine hivyo kujikuta akichukua maamuzi ya kibabe ili kukabiliana na upinzani kutoka dini fulani. Suala kujiunga na dini ya mashetani au "FREEMASONS" litakuwa jambo la kawaida na watu wengi wenye kupinga serikali watatoweka na wasijulikane wapo wapi.

5.Ushawishi wa nchi za magharibi; hili nalo ni tatizo ambalo nitafanya nchi isitawalike endapo Rais ajae ataamua kufuata matwakwa ya raia wake kwenye masuala la uwekezaji, ajira, ugawaji wa ardhi, kodi, na utaifishaji wa mali za umma kama viwanda, mashamba makubwa, n.k.na endapo atawageuka wananchi na kusikiliza matakwa ya nchi za magharibi basi atajikuta amepitisha sera ya ndoa za jinsia moja, biashara haramu ya siaha, urutubishaji wa nyuklia. Hali hii itapelekea wanachi waanze kumchukia na atajikuta anatumia nguvu za dola kulazimisha wananchi wakubali sera zake.

Pia kuna mambo mengine kama kuibuka vyama vya siasa vyenye nguvu vinavyotaka kumtoa madarakani kwa nguvu na atajikuta akiwasweka rumande wapinzani wengi ambapo itachafua hali ya hewa ya nchi. Pia utata wa mgawanyiko wa wabunge maana kuna kila dalili vyama viwili vyenye ushindani kugawana sehemu kubwa ya idadi ya wabunge na hivyo kumlazimisha Rais kuwa na wakati mgumu wa kuvunja bunge zaidi ya mara moja kwenye kipindi cha miaka mitano.

Pia suala la ajira litaendelea kutesa nchi na ongezeko la wasomi itakuwa pia tatizo hivyo itamlazimu kutumia sheria kali na za kibabe ili kuendesha utawala wake.

Vyombo mbalimbali vitanyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao hii itapelekea vyombo vya habari vya magharibi kumuulika nchi na hivyo hali kuwa mbaya zaidi.

Swali la kujiuliza, Rais ajaye atakuwa nani ?

Ni vigumu kupata jibu la moja kwa moja ingawa watu wengi wanatazamia kuona sura mojawapo kati ya hizi:
- Zito Kabwe,
  • Dr. Willbrod Slaa,
  • Dr. Asha Rose Migiro,
  • Edward Lowassa.
  • Samwel Sitta
  • Prof. Ibrahim Lipumba.
  • Bernad Membe, na
  • John Pombe Magufuli
.

Kwanini Watanzania wengi wanategemea kati ya watu hawa mmoja wapo atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015?
Jibu kubwa na la msingi ni suala zima la uwajibikaji na kujituma.

Kwanini nasema hivyo?
Ukiangalia sura zote ni watu wachapa kazi, wanajituma na wenye maamuzi magumu kwa masuala nyeti ya nchi. Ingawa kila mmoja ana mapungufu yake lakini ukweli bado unabaki pale pale wanauwezo mkubwa wa kulifikisha taifa pale Watanzania wanapotaka ikiwa watatekeleza majukumu yao ipasavyo.

Bado suala la wapinzani kuungana na kumsimamisha mgombea mmoja litakuwa ni ndoto. Kwanza utofauti wa sera na mawazo yao vinakinzana. Pia kuna suala zima la itikadi ya chama na mitazamo. Wapinzani wamejifunza mengi kutoka kwa jirani zao Kenya. Hivyo hawapo tayari kuungana na kuanza kung'ang'aniana madaraka ni bora kila mmoja ashiriki kwa nguvu zake na ashinde kwa nguvu zake.
Uzi wako haukumlenga jpm, ulimlenga lowasa, kwanza ukiangalia kipindi hicho lowasa alikuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, pia ukiangalia kutoelewana kwake na jk, ulijua hata akienda upinzani atakubalika, ni wazi ulitumia takwimu za uchaguzi wa 2010 pia ccm ilishachokwa na wananchi kutokana na utawala wa kipindi hicho kuwa na mapungufu mengi, kikwete alipata shida sana kunadi sera zake kwa wananchi kutokana na ufisadi na uongozi usioridhisha na ndio sababu uchaguzi wa 2015 jpm alijinadi yeye mwenyewe chagua magufuli, ni wazi ccm isingemteua magufuli ilikuwa ndio mwisho wake 2015, magufuli ndio mtu pekee aliyekubalika na wengi pia alikuwa na historia safi ya uwajibikaji tofauti na wagombea wengine, pia kwenye utawala wake jpm kwa kiasi kikubwa ni tofauti na ulivyotabiri maana aliwasikiliza wananchi alijua ni nini wanataka na walimkubali.
 
Uzi wako haukumlenga jpm, ulimlenga lowasa, kwanza ukiangalia kipindi hicho lowasa alikuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, pia ukiangalia kutoelewana kwake na jk, ulijua hata akienda upinzani atakubalika, ni wazi ulitumia takwimu za uchaguzi wa 2010 pia ccm ilishachokwa na wananchi kutokana na utawala wa kipindi hicho kuwa na mapungufu mengi, kikwete alipata shida sana kunadi sera zake kwa wananchi kutokana na ufisadi na uongozi usioridhisha na ndio sababu uchaguzi wa 2015 jpm alijinadi yeye mwenyewe chagua magufuli, ni wazi ccm isingemteua magufuli ilikuwa ndio mwisho wake 2015, magufuli ndio mtu pekee aliyekubalika na wengi pia alikuwa na historia safi ya uwajibikaji tofauti na wagombea wengine, pia kwenye utawala wake jpm kwa kiasi kikubwa ni tofauti na ulivyotabiri maana aliwasikiliza wananchi alijua ni nini wanataka na walimkubali.
Duh unaona wivu au

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Uzi wa mwaka 2012 💯💯...alafu kuna mtu anajiita paschal mayala anadai eti yeye ndio alitabiri Magufuli atakua Rais kwenye thread aliyoiandika 2014😂😂
Mkuu masare, nitake radhi!. Maudhui ya uzi huu sio nani atakuwa rais wa Tanzania 2015, bali tutatawaliwa kidikiteta 2015 bila kumtaja specifically rais wetu atakuwa nani.

Mimi bandiko langu hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sio la utabiri, sio la ubashiri, sio guess work, ni info pack!, nimeambiwa na mtu from deep inside!.

Katika bandiko hili langu, nime copy kitu gani kutoka bandiko hili la Mkuu MAGAMBA MATATU?.
P
 
Uzi wako haukumlenga jpm, ulimlenga lowasa, kwanza ukiangalia kipindi hicho lowasa alikuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, pia ukiangalia kutoelewana kwake na jk, ulijua hata akienda upinzani atakubalika, ni wazi ulitumia takwimu za uchaguzi wa 2010 pia ccm ilishachokwa na wananchi kutokana na utawala wa kipindi hicho kuwa na mapungufu mengi, kikwete alipata shida sana kunadi sera zake kwa wananchi kutokana na ufisadi na uongozi usioridhisha na ndio sababu uchaguzi wa 2015 jpm alijinadi yeye mwenyewe chagua magufuli, ni wazi ccm isingemteua magufuli ilikuwa ndio mwisho wake 2015, magufuli ndio mtu pekee aliyekubalika na wengi pia alikuwa na historia safi ya uwajibikaji tofauti na wagombea wengine, pia kwenye utawala wake jpm kwa kiasi kikubwa ni tofauti na ulivyotabiri maana aliwasikiliza wananchi alijua ni nini wanataka na walimkubali.
Jiwe hakushinda 2015 kihalali kama ambavyo hakushinda 2020.
CCM ilichokwa kitambo na imechokwa sasa na hakukuwa na wa kuiokoa na hakuna wa kuiokoa kihalali.
 
Uzi wako haukumlenga jpm, ulimlenga lowasa, kwanza ukiangalia kipindi hicho lowasa alikuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, pia ukiangalia kutoelewana kwake na jk, ulijua hata akienda upinzani atakubalika, ni wazi ulitumia takwimu za uchaguzi wa 2010 pia ccm ilishachokwa na wananchi kutokana na utawala wa kipindi hicho kuwa na mapungufu mengi, kikwete alipata shida sana kunadi sera zake kwa wananchi kutokana na ufisadi na uongozi usioridhisha na ndio sababu uchaguzi wa 2015 jpm alijinadi yeye mwenyewe chagua magufuli, ni wazi ccm isingemteua magufuli ilikuwa ndio mwisho wake 2015, magufuli ndio mtu pekee aliyekubalika na wengi pia alikuwa na historia safi ya uwajibikaji tofauti na wagombea wengine, pia kwenye utawala wake jpm kwa kiasi kikubwa ni tofauti na ulivyotabiri maana aliwasikiliza wananchi alijua ni nini wanataka na walimkubali.

Magufuli aliwasikiliza wananchi, na wananchi walimkubali, cha ajabu ilibidi apore uchaguzi ili aendelee kukaa madarakani! Sasa kama unakubalika unanajisi uchaguzi ili iweje.
 
Jiwe hakushinda 2015 kihalali kama ambavyo hakushinda 2020.
CCM ilichokwa kitambo na imechokwa sasa na hakukuwa na wa kuiokoa na hakuna wa kuiokoa kihalali.

Kula tano, na ushahidi kuwa CCM imeendelea kuchokwa hata baada ya Magufuli kuingia madarakani, chaguzi nyingi wakati wa utawala wake zilijaa wizi mkubwa wa kura, ukiukwaji mkubwa wa sheria za chaguzi, na ndio utawala uliofanya box la kura kudharaulika rasmi.
 
Mkuu masare, nitake radhi!. Maudhui ya uzi huu sio nani atakuwa rais wa Tanzania 2015, bali tutatawaliwa kidikiteta 2015 bila kumtaja specifically rais wetu atakuwa nani.

Mimi bandiko langu hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sio la utabiri, sio la ubashiri, sio guess work, ni info pack!, nimeambiwa na mtu from deep inside!.

Katika bandiko hili langu, nime copy kitu gani kutoka bandiko hili la Mkuu MAGAMBA MATATU?.
P
Wanakuandama sana mkuu.
 
Mkuu masare, nitake radhi!. Maudhui ya uzi huu sio nani atakuwa rais wa Tanzania 2015, bali tutatawaliwa kidikiteta 2015 bila kumtaja specifically rais wetu atakuwa nani.

Mimi bandiko langu hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sio la utabiri, sio la ubashiri, sio guess work, ni info pack!, nimeambiwa na mtu from deep inside!.

Katika bandiko hili langu, nime copy kitu gani kutoka bandiko hili la Mkuu MAGAMBA MATATU?.
P
Nakufuatilia sana uko vizuri
 
We jamaa ni nabii
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa:
"Tanzania itatawaliwa kidikteta"
Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi sana kwa anayependa demokrasia kunibeza na kuniona kama naota.

1. Kwanza kuna uwezekano mkubwa Rais ajaye ataingia madarakani kwa utata nikimaanisha kutakuwa na mizengwe katika utoaji wa matokeo kwani hali halisi inajionesha wazi kuwa kuna mvutano mkubwa wa vyama viwili na hakuna kinachokubali kuwa kimeshindwa ki-haki.Endapo mgombea wa chama tawala akashinda basi chama kikuu cha upinzani kitatumia nguvu ya umma ili kupata sapoti wakati aliyejiona kashinda kwa haki atakimbilia ikulu na kushawishi dola kulinda ushindi wake kadri wawezavyo.Tukumbuke yaliyozikumba nchi za :LIBYA, IVORY COAST, LIBERIA, NIGERIA, ZIMBABWE, KENYA, VISIWA VYA COMORO, MISRI na TUNISIA.

2. Pili ni ahadi atakazozitoa hususani zile za kushughulikia "MAFISADI". Ili kupambana na aliyekuzidi kifedha lazima uchukue fedha zake kwa nguvu hivyo atataifisha mali za waliosemekana ni wahujumu uchumi au mafisadi. Akiwa yupo kwenye hali hiyo lazima watamwinda hivyo itamgharimu kuwa dikteta katika kupambana na mafisadi ikiwa ni pamoja na kunyonga baadhi yao ili kuweka fundisho. Pia atajikuta analipa kisasi cha mateso yote yaliyompata katika harakati za kuingia ikulu.

3.Suala zima la maendeleo haliendani na kuwapa watu uhuru wa kukaa mijini na kuendeleza masuala kama ya kupiga debe, kutembeza vitu mijini, kuuza na kula madawa ya kulevya, polisi wa barabarani kupokea rushwa, maafisa wa TRA kusamehe kodi na kutoa vibali kwa njia za panya, viongozi wa serikali kutumia ofisi zao kama kampuni zao! Yote haya yatasababisha rais ajaye awe dikteta na mkatili kwa wazembe wote wanaokwamisha matarajio yake, ikiwa ni pamoja na kuwafurutisha vijana wote mijini na kuwafukuza kazi wazembe wote.

4. Suala zima la ushawishi wa dini, endapo ataegemea dini moja basi atajikuta yupo kwenye wakati mgumu kwani atajikuta amegeuka gafla na kuwa adui wa dini nyingine hivyo kujikuta akichukua maamuzi ya kibabe ili kukabiliana na upinzani kutoka dini fulani. Suala kujiunga na dini ya mashetani au "FREEMASONS" litakuwa jambo la kawaida na watu wengi wenye kupinga serikali watatoweka na wasijulikane wapo wapi.

5.Ushawishi wa nchi za magharibi; hili nalo ni tatizo ambalo nitafanya nchi isitawalike endapo Rais ajae ataamua kufuata matwakwa ya raia wake kwenye masuala la uwekezaji, ajira, ugawaji wa ardhi, kodi, na utaifishaji wa mali za umma kama viwanda, mashamba makubwa, n.k.na endapo atawageuka wananchi na kusikiliza matakwa ya nchi za magharibi basi atajikuta amepitisha sera ya ndoa za jinsia moja, biashara haramu ya siaha, urutubishaji wa nyuklia. Hali hii itapelekea wanachi waanze kumchukia na atajikuta anatumia nguvu za dola kulazimisha wananchi wakubali sera zake.

Pia kuna mambo mengine kama kuibuka vyama vya siasa vyenye nguvu vinavyotaka kumtoa madarakani kwa nguvu na atajikuta akiwasweka rumande wapinzani wengi ambapo itachafua hali ya hewa ya nchi. Pia utata wa mgawanyiko wa wabunge maana kuna kila dalili vyama viwili vyenye ushindani kugawana sehemu kubwa ya idadi ya wabunge na hivyo kumlazimisha Rais kuwa na wakati mgumu wa kuvunja bunge zaidi ya mara moja kwenye kipindi cha miaka mitano.

Pia suala la ajira litaendelea kutesa nchi na ongezeko la wasomi itakuwa pia tatizo hivyo itamlazimu kutumia sheria kali na za kibabe ili kuendesha utawala wake.

Vyombo mbalimbali vitanyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao hii itapelekea vyombo vya habari vya magharibi kumuulika nchi na hivyo hali kuwa mbaya zaidi.

Swali la kujiuliza, Rais ajaye atakuwa nani ?

Ni vigumu kupata jibu la moja kwa moja ingawa watu wengi wanatazamia kuona sura mojawapo kati ya hizi:
- Zito Kabwe,
  • Dr. Willbrod Slaa,
  • Dr. Asha Rose Migiro,
  • Edward Lowassa.
  • Samwel Sitta
  • Prof. Ibrahim Lipumba.
  • Bernad Membe, na
  • John Pombe Magufuli
.

Kwanini Watanzania wengi wanategemea kati ya watu hawa mmoja wapo atakuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015?
Jibu kubwa na la msingi ni suala zima la uwajibikaji na kujituma.

Kwanini nasema hivyo?
Ukiangalia sura zote ni watu wachapa kazi, wanajituma na wenye maamuzi magumu kwa masuala nyeti ya nchi. Ingawa kila mmoja ana mapungufu yake lakini ukweli bado unabaki pale pale wanauwezo mkubwa wa kulifikisha taifa pale Watanzania wanapotaka ikiwa watatekeleza majukumu yao ipasavyo.

Bado suala la wapinzani kuungana na kumsimamisha mgombea mmoja litakuwa ni ndoto. Kwanza utofauti wa sera na mawazo yao vinakinzana. Pia kuna suala zima la itikadi ya chama na mitazamo. Wapinzani wamejifunza mengi kutoka kwa jirani zao Kenya. Hivyo hawapo tayari kuungana na kuanza kung'ang'aniana madaraka ni bora kila mmoja ashiriki kwa nguvu zake na ashinde kwa nguvu zake.
 
Back
Top Bottom