johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mamlaka ya Mapato TRA imesema itaendesha msako mkali kwa wote wanaouza na kununua bidhaa bila kuwa na risiti.
Msako utaanza rasmi tarehe 01/02/2022.
Mjulishe na mwenzako kama nilivyowajulisha hapa JF.
Maendeleo hayana vyama!
Msako utaanza rasmi tarehe 01/02/2022.
Mjulishe na mwenzako kama nilivyowajulisha hapa JF.
Maendeleo hayana vyama!