Kuanzia Februari 01, 2022 ukinunua bidhaa dai risiti vinginevyo Jela itakuhusu. TRA kuendesha msako mkali sana nchi nzima

Ila kwa matamko TRA tulishawazoea..

Ona hapa 👇



 
Bidhaa zipi hazihitaji kutoa na kudai risiti? Je, nikinunua pipi moja natakiwa kutoa au kudai risiti?
 
Inaokoa garama kwa zaidi ya 50% kwa kujiunga na mfumo wa kisasa wa VFD. Huu ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta, Ni Bora na rafiki kwa wafanyabiashara na watoa huduma utakuwezesha kutoa risiti popote ulipo bila kikomo.

Wasiliana nasi kwa kupiga au whtsp 0753688348
 
Angalia Video Hii, na huo ndio muonekano wa risiti inavyotokea kwenye system yetu, karibu sana.
 

Attachments

  • gg.mp4
    639.3 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…