The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ila kwa matamko TRA tulishawazoea..kwa wafanya biashara ili kepuka kadhia hiyo jiunge na mfumo wa DIRM VFD ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta kwa kwa shiling laki tatu tu, (300,000 unapata pamoja na printer).
Huu mfumo ni Bora na rafiki kwa wafanyabiashara au watoa huduma kwani utakaokuwezesha kutoa risiti popote ulipo bila kikomo, inapunguza garama mpaka 50%, hakuna marekebisho ya mara kwa mara n.k.
Wasiliana nasi Dirm VFD kupiga au whtsp 0753688348
Tatizo lipo kwa wauzaji,wapo wengine wanakwepa kabisa kutoa risiti na hata akitoa anaandika kiwango cha chini ya ulicholipaKampeni ya kipindi kile haikuwalenga watu wa makundi yote bali wafanyabiashara na waliweza.
Kampeni ya Sasa ni wote hasa wanunuzi
Wao TRA watupe namba Ili tuwaripoti,japo mimi sijawahi kumbana na muuzaji akakataa kunipa risiti sema wanaangalia na wajihi wa mtu.Tatizo lipo kwa wauzaji,wapo wengine wanakwepa kabisa kutoa risiti na hata akitoa anaandika kiwango cha chini ya ulicholipa
Hahahaha. Achana nao usijichoshe. Hakuna jela hapoJela ?
mmaona ni rahisi kuwajaza watu jela