Kuanzia Julai 2024 watumishi watakuwa busy kujaza PEPMIS. Mnaotaka huduma ofisi za umma kazi mnayo

Kuanzia Julai 2024 watumishi watakuwa busy kujaza PEPMIS. Mnaotaka huduma ofisi za umma kazi mnayo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa fomu za PEPMIS zitapaswa kujazwa na watumishi wa umma kila wiki
Kama sasa hivi tu watumishi wanajaza kila mwezi wanakuwa busy je, ikiwa watumishi watajaza kila wiki itakuwaje? Wananchi mjipange.

Jambo jingine. Serikali igawe laptops kwa watumishi wote maana simu hazina uwezo kumaliza kazi zote kwa ufasaha. Itoe mafunzo ya kutumia computer na kujaza PEPMIS.

Serikali ipeleke internet vijiji vyote maana watumishi wanaoishi vijijini wanatumia nauli kwenda wilayani kujaza PEPMIS. Au iweke fungu la nauli na malazi kwa watumishi wanapokwenda mjini kujaza PEPMIS.

MWISHO, PEPMIS haijaleta tija yoyote tangu ianzishwe hapa nchini. Iendelee kuwepo ila isiwe lazima. Watumie tu wale watakaotaka.
 
Chukua fursa hiyo, wekeza kwenye internet service, pita kwenye ofisi za umma omba taarifa muhimu zinazotakiwa pia andaa fomu watakazo jaza ambazo mwisho utawajazisha credentials zao za account n.k
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa fomu za PEPMIS zitapaswa kujazwa na watumishi wa umma kila wiki
Kama sasa hivi tu watumishi wanajaza kila mwezi wanakuwa bussy je, ikiwa watumishi watajaza kila wiki itakuwaje?
Wananchi mjipange.
Jambo jingine
Serikali igawe laptops kwa watumishi wote maana simu hazina uwezo kumaliza kazi zote kwa ufasaha.
Itoe mafunzo ya kutumia computer na kujaza PEPMIS.
Serikali ipeleke internet vijiji vyote maana watumishi wanaoishi vijijini wanatumia nauli kwenda wilayani kujaza PEPMIS.
Au iweke fungu la nauli na malazi kwa watumishi wanapokwenda mjini kujaza PEPMIS.
MWISHO.
PEPMIS haijaleta tija yoyote tangu ianzishwe hapa nchini
Iendelee kuwepo ila isiwe lazima. Watumie tu wale watakaotaka.
Hiki kitu serikali imekikurupukia pasipo kufanya upembuzi yakinifu kwa aina ya watu walio waandalia huo mfumo na majukumu yao , kwamfano mwalimu mmoja wa primary kwa siku anavipindi 8 mfululizo kutokana na uhaba wao sasa hebu niambie hiyo kazi hapo haja sahihisha madaftari ya wanafunzi hao na mikazi mingine na hiyo pepmis.

Kifupi nchi hii haiwajengei watumishi wa umma hasa wale w ngazi za chini mazingira ya kufanya kazi comfortable ili wapate matokeo mazuri yaan wao ni kuwaburuza tuu na kuwatisha tuu ndicho wanakiweza na hawataki hata kuwatembelea kukusanya changamoto zao huko chini kwenye vituo vyao wao ni kutoa maelekezo tuu na amri , sasa wasitarajie matokeo mazuri kwa style hii. Huwezi fanya kazi na mtu kwa kumshurutisha halafu utarajie matokeo chanya.

Bado serikali inahitaji viongozi wa watumishi wanao jua kwa kina mazingira yao ya kazi na hatua stahiki za kuchukua kulingana na mazingira yao.

Na hapa naongelea watumishi wanao tumika ngazi ya kata na vijiji na sio wale wa maofisi ya viyoyozi na halimashauri.
 
Chukua fursa hiyo, wekeza kwenye internet service, pita kwenye ofisi za umma omba taarifa muhimu zinazotakiwa pia andaa fomu watakazo jaza ambazo mwisho utawajazisha credentials zao za account n.k
Ni kosa kisheria na hairuhusiwi hiyo.
 
Hiki kitu serikali imekikurupukia pasipo kufanya upembuzi yakinifu kwa aina ya watu walio waandalia huo mfumo na majukumu yao , kwamfano mwalimu mmoja wa primary kwa siku anavipindi 8 mfululizo kutokana na uhaba wao sasa hebu niambie hiyo kazi hapo haja sahihisha madaftari ya wanafunzi hao na mikazi mingine na hiyo pepmis.

Kifupi nchi hii haiwajengei watumishi wa umma hasa wale w ngazi za chini mazingira ya kufanya kazi comfortable ili wapate matokeo mazuri yaan wao ni kuwaburuza tuu na kuwatisha tuu ndicho wanakiweza na hawataki hata kuwatembelea kukusanya changamoto zao huko chini kwenye vituo vyao wao ni kutoa maelekezo tuu na amri , sasa wasitarajie matokeo mazuri kwa style hii. Huwezi fanya kazi na mtu kwa kumshurutisha halafu utarajie matokeo chanya.

Bado serikali inahitaji viongozi wa watumishi wanao jua kwa kina mazingira yao ya kazi na hatua stahiki za kuchukua kulingana na mazingira yao.

Na hapa naongelea watumishi wanao tumika ngazi ya kata na vijiji na sio wale wa maofisi ya viyoyozi na halimashauri.
Sasa tutakuwa tunajaza PEPMIS tu na kusubiri mshahara na posho.
 
PEPMIS NI NZURI SANA KM HUJAWAHI KUITUMIA NA UNASIKIA TU KWA WATU BASI ACHA KUIKOSOA KATIKA VITU SERIKALI IMEPATIA BASI HUO MFUMO HAUNA UGUMU WOWOTE NI RAHISI SANA WATU WAKIELEKEZWA KWA UFASAHA WANAELEWA VIZURI SANA NA INAPUNGUZA USUMBUFU MWINGI SANA
 
Hapo usikute kuna mtu kapata kabisa na PhD baada tu ya kuja na huo mfumo wake wa kipuuzi.
Lipa wafanyakazi mishahara yenye uhalisia halafu uone watakavyo jituma.
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa fomu za PEPMIS zitapaswa kujazwa na watumishi wa umma kila wiki
Kama sasa hivi tu watumishi wanajaza kila mwezi wanakuwa bussy je, ikiwa watumishi watajaza kila wiki itakuwaje?
Wananchi mjipange.
Jambo jingine
Serikali igawe laptops kwa watumishi wote maana simu hazina uwezo kumaliza kazi zote kwa ufasaha.
Itoe mafunzo ya kutumia computer na kujaza PEPMIS.
Serikali ipeleke internet vijiji vyote maana watumishi wanaoishi vijijini wanatumia nauli kwenda wilayani kujaza PEPMIS.
Au iweke fungu la nauli na malazi kwa watumishi wanapokwenda mjini kujaza PEPMIS.
MWISHO.
PEPMIS haijaleta tija yoyote tangu ianzishwe hapa nchini
Iendelee kuwepo ila isiwe lazima. Watumie tu wale watakaotaka.
Hili limfumo linaiba muda wa kuwatumikia wanachi.sijajua aliyeleta hii alilenga nini.maana angeanza kwanza kuwekeza kwenye vifaa na mtandao.mfano kununulia smartphone kubwa watumishi wote na kuwapa hela ya bando.Ila pia ile kwamba inajqzwa kila wiki maana yake aliyeleta hili o3ndekezo alikurupuka sana, angalau ingekuwa kwa mwezi mara moja.

Madaktari na wauguzi wanaacha wagonjwa wanashughulika na mfumo kila siku
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa fomu za PEPMIS zitapaswa kujazwa na watumishi wa umma kila wiki
Kama sasa hivi tu watumishi wanajaza kila mwezi wanakuwa bussy je, ikiwa watumishi watajaza kila wiki itakuwaje?
Wananchi mjipange.
Jambo jingine
Serikali igawe laptops kwa watumishi wote maana simu hazina uwezo kumaliza kazi zote kwa ufasaha.
Itoe mafunzo ya kutumia computer na kujaza PEPMIS.
Serikali ipeleke internet vijiji vyote maana watumishi wanaoishi vijijini wanatumia nauli kwenda wilayani kujaza PEPMIS.
Au iweke fungu la nauli na malazi kwa watumishi wanapokwenda mjini kujaza PEPMIS.
MWISHO.
PEPMIS haijaleta tija yoyote tangu ianzishwe hapa nchini
Iendelee kuwepo ila isiwe lazima. Watumie tu wale watakaotaka.
Pepimis ndio kufanyaje?
 
Hapo usikute kuna mtu kapata kabisa na PhD baada tu ya kuja na huo mfumo wake wa kipuuzi.
Lipa wafanyakazi mishahara yenye uhalisia halafu uone watakavyo jituma.
Mbaya zaidi kwa mashuleni; wakuu wengi hawana uelewa na matumizi ya computer. Matokeo yake taarifa za watumishi zinapelekwa stationery na hivyo kukosa usiri. Wengine wanawapa watoto wao wawasaidie.
Bora wangepewa kwanza course maalum kwa myda mfupi, japo najua kuna wengine ni wagumu kuelewashata wasimee mwaka mzima.

Mfano mkuu wa shule x, hata ms word tu na excel hajui. Kila kitu ni stationery hata kupanga matokeo japo ana kishkwambi chake
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa fomu za PEPMIS zitapaswa kujazwa na watumishi wa umma kila wiki
Kama sasa hivi tu watumishi wanajaza kila mwezi wanakuwa bussy je, ikiwa watumishi watajaza kila wiki itakuwaje?
Wananchi mjipange.
Jambo jingine
Serikali igawe laptops kwa watumishi wote maana simu hazina uwezo kumaliza kazi zote kwa ufasaha.
Itoe mafunzo ya kutumia computer na kujaza PEPMIS.
Serikali ipeleke internet vijiji vyote maana watumishi wanaoishi vijijini wanatumia nauli kwenda wilayani kujaza PEPMIS.
Au iweke fungu la nauli na malazi kwa watumishi wanapokwenda mjini kujaza PEPMIS.
MWISHO.
PEPMIS haijaleta tija yoyote tangu ianzishwe hapa nchini
Iendelee kuwepo ila isiwe lazima. Watumie tu wale watakaotaka.
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu kabisa! Mjini ni shida kujaza, je vijijini? Wanaacha ya maana wanahangaika na ushuzi! Ufisadi umezidi sana!
 
PEPMIS NI NZURI SANA KM HUJAWAHI KUITUMIA NA UNASIKIA TU KWA WATU BASI ACHA KUIKOSOA KATIKA VITU SERIKALI IMEPATIA BASI HUO MFUMO HAUNA UGUMU WOWOTE NI RAHISI SANA WATU WAKIELEKEZWA KWA UFASAHA WANAELEWA VIZURI SANA NA INAPUNGUZA USUMBUFU MWINGI SANA
UZuri wake nini? Wameleta usumbufu tu na kufanya watumishi kuhangaika bila sababu yoyote ya msingi.
 
PEPMIS NI NZURI SANA KM HUJAWAHI KUITUMIA NA UNASIKIA TU KWA WATU BASI ACHA KUIKOSOA KATIKA VITU SERIKALI IMEPATIA BASI HUO MFUMO HAUNA UGUMU WOWOTE NI RAHISI SANA WATU WAKIELEKEZWA KWA UFASAHA WANAELEWA VIZURI SANA NA INAPUNGUZA USUMBUFU MWINGI SANA
UZuri wake nini? Wameleta usumbufu tu na kufanya watumishi kuhangaika bila sababu yoyote ya msingi
 
Back
Top Bottom