Wewe ndo mjinga kabisa my be unautoto..unataka kuniambia makocha wote duniani na ma captain wote wanaomchagua kuwa ni mchezaji bora wewe ni nani uje utoe mada kama hii?..mwaka jana hakufunga magoli17..ambayao hayafungwa na mchezaji yeyote kwenye CL..huridhiki tu..kama huangalii la liga..then huwai kumjadili huyo mtu!
Sielewi unaponiambia bodi inabashiri mfumo, wakati mi nachojua Pep ndio alikuwa na maamuzi yote ya kiufundi kuhusu timu, na walimheshimu kinoma.
Pia nafahamu Messi aliwahi kumkoromea Villa (sikumbuki mechi gani) kwa kukosa goli na kumnyima pasi, wakati wanaenda mapumziko alionekana Messi akisema kitu kuelekea alipokuwa amekaa President wa Barca. Wataalam wa kusoma lips wakasema alisema hataki tena kucheza na Villa kamwe, toka siku hiyo maisha ya Villa yakawa magumu.
Pia Pep aliwahi kukiri kwa Mino kwamba Messi hana raha kucheza na Ibra, kuanzia hapo maisha ya Ibra yakawa magumu na ndio uhusiano wake na Pep ukaharibika since Pep hakuwa na balls za kumuelezea Ibra nini kinaendelea. Ibra alijaribu ku-sign Madrid kulipa kisasi ila Madrid wakakataa.
Bottom-line, Messi ni mkali, ila hakaribii utakatifu mnaompa.
Yaani ndio sifa zake hizo
You are too obsessed with Ronaldo bro. Nakuambia tena, hali hii sio nzuri kwa afya yako!!!Kama kichwa cha habari kinavyosema huyu Cristiano ronaldo haniwezi kabisa
Ratiba yangu kwa siku itakua hivi
Nadamka alfajiri nakimbia baharini kutafuta pumzi hadi saa tatu narudi home napata chai nahamia gym natafuta stamina na kuongeza nguvu
Mchana baada ya chakula nafanya mazoezi ya kupigana kulia na kulaumu
Jioni nafanya mazoezi ya kupiga penati kupiga faulo na kujiangusha
baada ya hapo madrid wanipange waniamini pasi zote zije kwangu penati zote nipewe mimi
nikinyimwa pasi nalia na kutukana mchezaji wa timu pinzani akiniudhi nampiga mateke na ngumi.
mjinga babaako na mamaako mbwa we wamekurithisha ujinga kutukana wakubwa zako kenge maji wewe kama hujafunzwa adabu nitakunza mimi
kajifunze kuandika kwanza
Linapokuja swala la kabumbu.... Messi ni mtakatifu. Hana dhambi.
Wakristu wana Yesu
Waislam wana Mohammad
Soka lina Messi
Messi ni bora kuliko Cristiano.
Messi si bora kabisa kuwahi kutokea, yet.
Messi si innocent wala mtakatifu, ni mahaba yenu tu.
alimaanisha kwa sasa mnamuona hafai alafu mnamsubiri afe ili dunia ianze kumkumbuka oooh mara hakuna kama yeye mara hv wakati huo yupo heaven