makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nabii hakubaliki nyumbani kwake.... Hata Yesu alikataliwa kwao....:rockon:
Hahaa... Unanichekesha, nabii akubaliki kwao unalenga nin messi hakubaliki barcelona, au messi ni mbongo halafu wabongo tunampinga, au mim messi ni mtoto wa shangaz yangu xo nakuwa nampinga ndugu yangu.. Listen mo than talk mr. Aspirin... Why msikubali tu ukweli, sawa messi tunakubali ni bora kwann mbishe ktk vitu ambavyo ni ukweli. Wakat mwngne tuwe wepes kukubali ukweli, mf. Sawq ni mzuri ila malaya, au sawa ni mzur ila tako hana, hahaa.. Xo unapomkuli kuwa maishani yapokee tu na mapungufu yake..