Kuanzia leo hii sitaki ubishano wa Ronaldo na Messi nani mkali

Kuanzia leo hii sitaki ubishano wa Ronaldo na Messi nani mkali

How many goals did Cristiano Ronaldo score against YOUR club?

18 - Sevilla
15 - Atletico Madrid, Barcelona, Getafe

14 - Atletico Bilbao
13 - Malaga
12 - Celta Vigo, Levante
11 - Villarreal, Granada
10 - Osasuna
9 - Aston Villa, Valencia, Rayo Vallecano, Real Sociedad, Deportivo
8 - Tottenham
7 - Schalke, Ajax, Zaragoza, Mallorca, Elche, Almeria, Fulham, Wigan
6 - Racing Santander, Galatasaray, Arsenal, Bolton, Newcastle, Portsmouth
5 - Everton, Manchester City, West Ham, Middlesbrough
4 - Bayern Munich, Marseille, Lyon, Xerez, Espanyol, Derby, West Brom, Reading
3 - FC Copenhagen, Borussia Dortmund, Roma, Juventus, CSKA Moscow, Real Betis, Valldolid, Dinamo Moscow, Liverpool, Blackburn
2 - Ludogorets, AC Milan, Sporting Lisbon, Basle, Zurich, Eibar, Gijon, Hercules, APOEL, Southampton, Birmingham, Stoke, Hull, Manchester United, Watford
1 - Auxerre, Inter, Gamba Osaka, Porto, Murcia, Tenerife, Cordoba, Ponferradina, Debreceni, Sunderland, Charlton, Chelsea, Millwall, Exeter



MO11 ,Kama humpendi mtu sometimes bora ukae kimya kuliko kuongea pumba ,soma zaidi


Cristiano Ronaldo thrilled the Bernabeu with five goals against Granada... but which club have suffered most at the hands of the prolific Portuguese? - | Daily Mail Online


Cristiano Ronaldo scored five goals against Granada, and Real Madrid star has more goals this season than 53 of the 98 teams in Europe's top five leagues- | Daily Mail Online

Wewe hujielewi umekuja na drama zenu na mchezaji wenu wa mechi ndogo na penati
 
messi ni zaidi ya Ronaldo anaebisha huwa anakuwa na chuki tu na anduje yule
 
nimewapa fact hapo la liga siiangalii ila uefa naangalia ndio maana nimewatajia mechi kubwa ambazo ronaldo ni mavi sasa mechi ipi kubwa ronaldo kafanya vizuri mnakuja na taarabu zenu hapa tokeni

Mkubwa una matatizo xana tangu Ronaldo ameenda Spain yy ndio anaongoza Kwa magoli kweny uwanja wa nou camp ana magoli 9 Na messi ana matano tu, cjui unazungumzia fact gan we?
 
Mkubwa una matatizo xana tangu Ronaldo ameenda Spain yy ndio anaongoza Kwa magoli kweny uwanja wa nou camp ana magoli 9 Na messi ana matano tu, cjui unazungumzia fact gan we?

kajifunze kuandika kwanza
 
Huwa nashangaa sana na ubishani wa nani mkali kati yao,lakini mimi watu huwaambia mbona mkali anajulikana ubishi wa nini?Njia fupi ya kutegua hilo ni rahisi sana tafuta mechi ambayo mmoja wa hao anacheza halafu uwe makini pale mchezaji husika anapopewa mpira vile vitu anavyofanya pale mpaka anatoa pasi....na role yake ktk kujenga combination na wenzake...ukiweza gundua hilo wala huna haja ya kubishana kua nani mkali kati yao,nakumbuka mwezi ulopita mfalme wa soka Pelle alipoulizwa swali hilo alijibu...'Ronaldo ni bora...lakini Messi ni bora tena bora zaidi..'Jana cr 7 kacheza kawaida sana na ndio uchezaji wake..atavizia...atajiangusha...atananua mikono kulaumu...atanuna na kutukana asipopewa pasi! Leo tuwepamoja runingani kushuhudia game lingine hebu chukua tafiti ndogo umuangalie moment messi anapokua na mpira nini anafanya halafu compare na ulivyomwona Cr7 jana jibu unalipata fasta
 
Na wewe je tukulinganishe na mtu gani kwenye kile unachofanya?
 
Huwa nashangaa sana na ubishani wa nani mkali kati yao,lakini mimi watu huwaambia mbona mkali anajulikana ubishi wa nini?Njia fupi ya kutegua hilo ni rahisi sana tafuta mechi ambayo mmoja wa hao anacheza halafu uwe makini pale mchezaji husika anapopewa mpira vile vitu anavyofanya pale mpaka anatoa pasi....na role yake ktk kujenga combination na wenzake...ukiweza gundua hilo wala huna haja ya kubishana kua nani mkali kati yao,nakumbuka mwezi ulopita mfalme wa soka Pelle alipoulizwa swali hilo alijibu...'Ronaldo ni bora...lakini Messi ni bora tena bora zaidi..'Jana cr 7 kacheza kawaida sana na ndio uchezaji wake..atavizia...atajiangusha...atananua mikono kulaumu...atanuna na kutukana asipopewa pasi! Leo tuwepamoja runingani kushuhudia game lingine hebu chukua tafiti ndogo umuangalie moment messi anapokua na mpira nini anafanya halafu compare na ulivyomwona Cr7 jana jibu unalipata fasta

Nakutafutia post pale azam tv ili utangaze na kuchambua soka
 
Hivi huyu ronaldo ana impact gani na mechi kubwa ?
Hivi mechi gani kubwa Ronaldo kawa man of the match ??
Kila nikiangalia ronaldo mechi kubwa ni mavi tu

Ile mechi na dortimund aliishia kufichwa na schmeizer mechi nzima mwisho wa mechi wanakula goli nne

Ukija na bayern munich aibu niliona mimi jinsi anavyofichwa na Philipe lahm alimuiba kabisa

hawa liverpool ndio walimficha ronaldo mbaya zaidi alifichwa na kolo toure huyu aliyeisha mwishoni akapewa goli la penati tena hakusababisha yeye

Mechi ya mwisho walipokutana na barcelona mwisho wa mechi Ronaldo alionekana akimwambia benzema "we were all shit"
alitaka nani akusaidie

wote mashahidi kombe la dunia jamaa alichofanya alibahatika goli moja akatoka makundi hakuwa na positive impact hata kwa ghana

Ronaldo hatembei na mpira siku hizi labda uzee umemfika akinyimwa pasi anatukana analalama mpaka vyombo vya habari vinajua hilo

He is overrated player

Unajua jana alikuwaje pale Vicente Cardelon aibu niliona mimi
Katika mechi saba alizokutana na Ateltico ameshinda goli moja msimu huu sitaki kuzungumzia fainali ya Uefa msimu uliopita alisubiri penati ndio avue nguo zake uwanjani baada ya kukutana na wanaume

Mtoa mada na mawazo ya chooni.....namashaka na iQ yako mkuu
 
-Sijui niseme nini juu ya Messi ila Messi ndiye mchezaji bora zaidi ambae nimemshuhudia ktk macho yangu tangu nianze kuangalia mpira nikiwa darasa la nne.
 
Messi is the best world player,christiano is real madrid best player-FABIO CAPELLO 14/04/16.
 
Messi il migliore del mondo e christiano e migliore del real madrid -fabio capello 14/415
 
Back
Top Bottom