otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Umeamka zako asubuhi unakutana na meseji kutoka kwa mpenzi wako anakwambia" Kuanzia leo mimi na wewe basi "......Utamjibu nini?[emoji31][emoji31]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntamwambia tu "NASHKURU"Nakaa kimya atajua hajui
Haha mm kweli nimekutana nayo asubuhi hii. Baada ya dem nlimwambia aje mida ya saa mbili yy saa tisa usiku ndo anataka kuja nikamzimia simuUmeamka zako asubuhi unakutana na meseji kutoka kwa mpenzi wako anakwambia" Kuanzia leo mimi na wewe basi "......Utamjibu nini?[emoji31][emoji31]
Duu iyo ngoma tisa anatoka wapi?Haha mm kweli nimekutana nayo asubuhi hii. Baada ya dem nlimwambia aje mida ya saa mbili yy saa tisa usiku ndo anataka kuja nikamzimia simu
Sijajibu hata hiyo k nimekausha tu namsikilizia maana kama jani lililonyauka limedondoka lenyewe nlikuwa nishamfanyia sub mda tuMtumie huu ujumbe ni herufi moja tu "K"
Unauliza "Samahani, ni Nani mwenzangu?"Umeamka zako asubuhi unakutana na meseji kutoka kwa mpenzi wako anakwambia" Kuanzia leo mimi na wewe basi "......Utamjibu nini?[emoji31][emoji31]
NDIO Raha ya kuwa na spare tire 🛞Sijajibu hata hiyo k nimekausha tu namsikilizia maana kama jani lililonyauka limedondoka lenyewe nlikuwa nishamfanyia sub mda tu
🤣🤣🤣Unauliza "Samahani, ni Nani mwenzangu?"
Saaaafi sana.Nakaa kimya atajua hajui