Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
mimi ni mpenzi sana wa mpiraHili halikuhusu mkuu na nashangaa kwanini umekomenti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ni mpenzi sana wa mpiraHili halikuhusu mkuu na nashangaa kwanini umekomenti
Ulichelewa sana kuelewa,elewa sasa tangia leo kwamba Tanganyika timu zina nguvu kuliko FAT,TFF na hata wakibadili jina tena bado Simba na Yanga Zitakuwa na nguvu kuliko sheria.Hongera mkuu,kumbe Kabumbu na soccer ni vitu 2 tofauti eeeh!,nilikuwa silifahamu hili
Simba haikuingia fainali kwa uwezo wake! Ni kwa uwezo na maamuzi ya yule refarii mwanamke!!Hayo mataka taka ndo yatakubonda hiyo j2,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila team imeingia final kwa uwezo wake.
TTF IS PROVING FAILURESTANZANIA FOOTBALL FAILURE
Walikua wanamtaka mshindi aliepita kwa uwezo wake sio wa kupigwa JEKI na msimamizi wa michezo.pale ushindi was Simba unapowanyima raha yanga wakati waliokuwa wakitamba wanataka kukutana na Simba
unalipiàKwa vichekesho hivi napaswa kubonyeza ngapi mkuu!
unalipia 2500 Azam Max unajiunga kuangalia documentary ya yangaKwa vichekesho hivi napaswa kubonyeza ngapi mkuu!
Hutaki ujumbe kinzani unataka mazuzu wa kukushangilia pekeeNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
SABABU NI HIZI.
1.Mpira wa Tanzania unaendeshwa Kisiasa,kwakuwa mimi sipendi siasa hivyo rasmi nimebwaga manyanga.
2.Upendeleo wa baadhi ya Timu hasa hizi kubwa (Yanga & Simba) huku timu ndogo zikidhurumiwa.
3.Maamuzi ya kionevu kwa timu zote kubwa na Ndogo.
4.Mpira wa Tanzania unanuka Rushwa,Kashfa za upangaji matokeo na uzwazwa,hivyo mimi kama kijana niliyeishia Form 6 nikiwa na Akili timamu nimeamua kabisa kutoshabika kabisa mpira wa Tanzania.
5.UPENDELEO
6.UPENDELEO
7.EPENDELEO
8.UPENDELEO
9.UJINGA WA VIONGOZI,,(Siwezi kuona naongozwa na viongozi wajinga)
10.SIASA ZA KIJINGA.(Mpira umekuwa kama mali ya chama fulani,na sisi tusio na vyama tunafanyaje?)
Njoo Taratibu ukiwa umemuaga mkeo,angalia nisije kupigwa ban kwa ajili ya ujinga wako.
Mercì Bandeko na Ngai
Shangaaa....na watabondwa tuuHayo mataka taka ndo yatakubonda hiyo j2,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila team imeingia final kwa uwezo wake.
Jamaa Ako think tan la mkoa wako amenisababishia ban , jinga mno lile jamaaNdugu yangu dr namugari na wewe umenitenga ndugu yangu!1[emoji23]
Hata ulaya siasa inafika kwenye mpira. Mfano mwepesi chukulia sakata la kuuzwa kwa timu ya Chelsea baada ya kuanza kwa vita vya Ukraine. Siasa ndio iliamua pale.1.Mpira wa Tanzania unaendeshwa Kisiasa,kwakuwa mimi sipendi siasa hivyo rasmi nimebwaga manyanga.
As usual, kila sehemu ipo. Pale England kuna yule Howard Webb alikuwa akichezesha match za Man U ujue timu pinzani itagawiwa kadi kama njugu.2.Upendeleo wa baadhi ya Timu hasa hizi kubwa (Yanga & Simba) huku timu ndogo zikidhurumiwa.
Hata ulaya timu kubwa na ndogo zinalalamika kuonewa na waamuzi wa michezo na vyama vya mpira wa miguu. Mifano ipo ukitaka tutaleta.3.Maamuzi ya kionevu kwa timu zote kubwa na Ndogo.
4.Mpira wa Tanzania unanuka Rushwa,Kashfa za upangaji matokeo na uzwazwa,hivyo mimi kama kijana niliyeishia Form 6 nikiwa na Akili timamu nimeamua kabisa kutoshabika kabisa mpira wa Tanzania.
Ulikuwa unatetea nini labda?Hata ulaya siasa inafika kwenye mpira. Mfano mwepesi chukulia sakata la kuuzwa kwa timu ya Chelsea baada ya kuanza kwa vita vya Ukraine. Siasa ndio iliamua pale.
As usual, kila sehemu ipo. Pale England kuna yule Howard Webb alikuwa akichezesha match za Man U ujue timu pinzani itagawiwa kadi kama njugu.
Hata ulaya timu kubwa na ndogo zinalalamika kuonewa na waamuzi wa michezo na vyama vya mpira wa miguu. Mifano ipo ukitaka tutaleta.
Mkuu, kuna sehem mpira hauna rushwa?
1. Zile tuhuma za Juve kupanga matokeo pale italia umesahau?
2. Vipi kuhusu skendo ya rushwa kwenye uenyeji wa kombe la dunia Qatar? Hata lile la Russia ilikuwa rushwa tupu.
3. Pale ufaransa umesau kuhusu timu ya Marsseile ilivyoshutumiwa kununua wachezaji wa timu pinzani na viongozi?
4. Bundesliga je, hujawahi kusikia kuhusu rushwa kwenye soka?
5. Pale FIFA na zile rushwa unasemaje, mfano tu wakati wa Blatter pale kulijaa rushwa kila eneo. Hata huu uchaguzi wa Infantinho ulituhumiwa kujaa rushwa.
6. Pale Uingereza tu penyewe rushwa inatembea sio mchezo.
Tuishie tu hapo.