WCB unawadai bei gani kwani,
Wakulipe tu.
Ha haaa daaah , nazikubali hustle za Diamond tena Sana pamoja na utunzi Bora na uliotukuka wa nyimbo za kusikiliza na kubembeleza za Rayvanny , hata hivyo hyo hainifungi kusikiliza Tungo tamu za wasanii wengine na wakifanya vyema lazima niwasifie ....!! Vipaji vizur vipo kila sehemu havijarundikwa Tu pale WCB,Timu mondi umekubali yaishe okay sawa
Mie nipo huku kwa mtu mbishi kweli kweliπππππ
Nikilewa sitaki nigasiwe
Liwalo na liwe situmii za mtu πππππ
Fans wa huyo jamaa wote mngekua na akili kama izi zako basi leo tungekua na wasanii kumi bora wanaotambulika afrika nzima.......Ha haaa daaah , nazikubali hustle za Diamond tena Sana pamoja na utunzi Bora na uliotukuka wa nyimbo za kusikiliza na kubembeleza za Rayvanny , hata hivyo hyo hainifungi kusikiliza Tungo tamu za wasanii wengine na wakifanya vyema lazima niwasifie ....!! Vipaji vizur vipo kila sehemu havijarundikwa Tu pale WCB,
Kondegang is for everibadeeKajamaa kananata sana sikapendi pamoja na tunyimbo twake # KONDEBOY IS EVERYTHINGS
12 hours 1M viewsView attachment 1874629
Jamaa namkubali yuko real sanaJamaa namkubali sana yeye na Nandy. No kelele, no kiki, ni muziki tu. Fuatilia huyo trending #1 views zake zitakavo anza kuongezeka fasta kwa kuogopa Ali Kiba asigonge namba moja.
Waanzishie Uzi wao mkuu ...!!Ifike mahala haya mapambio yakome, kila siku hawa wasanii watatu wakitoa nyimbo zinaanzishiwa thread, naona kama hii cerebrity forum imeshakosa content za kueleweka or kila anaejisikia kuanzisha thread anajiandikia tu.
Bora nkashinde kwenye uzi wa warembo, hakunaga la maana humu ni wimbo mpya wa mondi mala kiba , cjui mmakonde, vp na sisi mashabiki wa akina Darasa, Jux, Barnaba, Weusi, Badest 47, tukiamua kwenda na huu mfumo....?πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Namba moja haiwekwi na namba za views.Jamaa namkubali sana yeye na Nandy. No kelele, no kiki, ni muziki tu. Fuatilia huyo trending #1 views zake zitakavo anza kuongezeka fasta kwa kuogopa Ali Kiba asigonge namba moja.
Tumuombe Maxences atuanzishie Forum kuitwa trending song, iwe inazungumzia nyimbo tuWaanzishie Uzi wao mkuu ...!!
Hivi Fans wa Ally na wa Sadala na wana gubu? Fans wa Ally huwezi kuta anamsifia Mond na si kama na Fans wa Ally kweli "Hapana" ila ana chuki na Diamond [emoji184] tu.Fans wa huyo jamaa wote mngekua na akili kama izi zako basi leo tungekua na wasanii kumi bora wanaotambulika afrika nzima.......
Wabongo ni ubinafsi na unafiki ndio tunachokiweza
Acha niendelee kumsikiliza huyu dogo mbishi sana
Umeongea Pumba na umeegemea upande mmoja utafiti wako ni wa hovyooHivi Fans wa Ally na wa Sadala na wana gubu? Fans wa Ally huwezi kuta anamsifia Mond na si kama na Fans wa Ally kweli "Hapana" ila ana chuki na Diamond [emoji184] tu.