Kuanzia Msimu ujao Ratiba iwe complex Yani iwe kama EPL tu

Kuanzia Msimu ujao Ratiba iwe complex Yani iwe kama EPL tu

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi,

Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini?

Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua zinapewa almost week nzima ya kujiandaa Yani hawachezi hata kombe la FA angalia Kuna Team zimecheza kombe la FA katikat na zimecheza na Ligi,

Ila Hawa Firstborn walikua wanajiandaa tu na Match Moja, ambayo nayo imekuja kuahirishwa kisa mazoezi ya dakika 30.

Unakaa unajiuliza kumbe Yale mazoezi na maandalizi ya siku 5+ yalikua hayana umhimu wowote Maandalizi na mazoezi ya Mhimu ni haya ya dakika 30?

So ombi langu Kwa Bodi na TFF kuanzia Msimu ujao Hawa wawe Wana game katikati ya week hata kama wanaenda kucheza Mashindano ya kimataifa hakuna kusema wana wakilisha Taifa,

Huwez kujiandaa 5 days then ukose dakika 30 useme huchez huko ni kudeka sana nyie ratiba next season ipigen msumeno watoe milio.

Ni ushauri kutokana na kilichotokea.
 
Bodi na TFF wanazilea sana hizi timu, wamezionesha kwamba zina nguvu kuwaliko! Simba kaamua 'No Reform No Derby' na wao wakapata kigugumizi wakapindisha sheria, kigugumizi ambacho huwa hawapati haya mambo yakitokea kwa timu zingine.

Uto nao saivi wanadai mechi hawachezi tena, na wanajua hakuna wanachoweza kufanywa... angetishia hivyo Ken Gold aone.

Viongozi wa TFF na Bodi hawatoshi, tunafaa kupata viongozi wasio na mahaba ya wazi na hizi timu uchwara mbili hizi, hawa takataka wanatakiwa kupangiwa hata mechi za saa nane wacheze
 
Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi,

Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini?

Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua zinapewa almost week nzima ya kujiandaa Yani hawachezi hata kombe la FA angalia Kuna Team zimecheza kombe la FA katikat na zimecheza na Ligi,

Ila Hawa Firstborn walikua wanajiandaa tu na Match Moja, ambayo nayo imekuja kuahirishwa kisa mazoezi ya dakika 30.

Unakaa unajiuliza kumbe Yale mazoezi na maandalizi ya siku 5+ yalikua hayana umhimu wowote Maandalizi na mazoezi ya Mhimu ni haya ya dakika 30?

So ombi langu Kwa Bodi na TFF kuanzia Msimu ujao Hawa wawe Wana game katikati ya week hata kama wanaenda kucheza Mashindano ya kimataifa hakuna kusema wana wakilisha Taifa,

Huwez kujiandaa 5 days then ukose dakika 30 useme huchez huko ni kudeka sana nyie ratiba next season ipigen msumeno watoe milio.

Ni ushauri kutokana na kilichotokea.
Bodi unayo iomba haina uwezo wa kusimamia kanuni unapoteza muda wako tu
 
Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi,

Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini?

Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua zinapewa almost week nzima ya kujiandaa Yani hawachezi hata kombe la FA angalia Kuna Team zimecheza kombe la FA katikat na zimecheza na Ligi,

Ila Hawa Firstborn walikua wanajiandaa tu na Match Moja, ambayo nayo imekuja kuahirishwa kisa mazoezi ya dakika 30.

Unakaa unajiuliza kumbe Yale mazoezi na maandalizi ya siku 5+ yalikua hayana umhimu wowote Maandalizi na mazoezi ya Mhimu ni haya ya dakika 30?

So ombi langu Kwa Bodi na TFF kuanzia Msimu ujao Hawa wawe Wana game katikati ya week hata kama wanaenda kucheza Mashindano ya kimataifa hakuna kusema wana wakilisha Taifa,

Huwez kujiandaa 5 days then ukose dakika 30 useme huchez huko ni kudeka sana nyie ratiba next season ipigen msumeno watoe milio.

Ni ushauri kutokana na kilichotokea.
Unaongelea Bodi ambayo ilipigiwa simu na Simba Kuomba waruhusiwe kuingia uwanjani wakazima simu?
Bodi ambayo baada ya Simba kutoa Taarifa Kwa umma kwamba Kwa vile hawakufanya pitch feeling hawatacheza mechi na wao wakasema wamepokea Malalamiko ya Simba kupitia Taarifa Kwa umma na kuyakubali?
Bodi ambayo inajua Wazi pitch feeling siyo moja ya sababu za Msingi za kuahirisha Mechi kikanuni?
BODI IPI UNAIONHELEA?
 
Unaongelea Bodi ambayo ilipigiwa simu na Simba Kuomba waruhusiwe kuingia uwanjani wakazima simu?
Bodi ambayo baada ya Simba kutoa Taarifa Kwa umma kwamba Kwa vile hawakufanya pitch feeling hawatacheza mechi na wao wakasema wamepokea Malalamiko ya Simba kupitia Taarifa Kwa umma na kuyakubali?
Bodi ambayo inajua Wazi pitch feeling siyo moja ya sababu za Msingi za kuahirisha Mechi kikanuni?
BODI IPI UNAIONHELEA?
Ila mda mwingine ukiwaza Hayo unaishiwa nguvu😂😂
 
Back
Top Bottom