Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kijinga , unaambiwa mpaka sasa ana nyota 5 za uchawaLucas Mwashambwa unatakiwa utoe pongezi kwa Mama. Haya nayo ni mafanikio katika utawala wake.
Umeitika kinyonge sana.Unabidi uombe tarehe za kukutana vicoba(village cooperative bank)zibadilishwe.Sawa tu haina shida......
Amshukuru au ni haki yake kulipwa,au unafikiri kulipwa mshahara ni favour,mwambie mama aache kumlipa halafu utasikia kitakachofuata,hujui kuwa ajira ni mkataba...?Kwanza mshukuru Mama yetu mpendwa kwa kukulipa mshahara kila mwezi na kujaza tumbo lako.
Walaaaa sijakaa kinyonge mie, hata mshahara ukitoka tarehe 32 bado nitapumua, kuweka macho yote mikono yote na miguu yote kwenye salary pekee ni hatari.Umeitika kinyonge sana.Unabidi uombe tarehe za kukutana vicoba(village cooperative bank)zibadilishwe.
Hiv anajua hata chek number ni kitu gan?We dogo cheza michezo yako, viwanja vyetu usiguse. We ata check number unayo wewe? Ebu tupishe.
Huo ndiyo utu uzima.Walaaaa sijakaa kinyonge mie, hata mshahara ukitoka tarehe 32 bado nitapumua, kuweka macho yote mikono yote na miguu yote kwenye salary pekee ni hatari.
Exactly, sijui kwanini wanahanagaika na tarehe wakati suala la msingi ni umelipwa kwa mwezi no matter ni tarehe ngapiSuala la tarehe ni mindset tu,kwani ukiamua kumlipa mtu mshahara tarehe 10 ya kila mwezi utakua umemlipa kwa kufanya kazi siku ngapi? Kwanini mnawaonea sana watumishi wa umma?
Kukopa ni temporary solution, inabidi kuwa na permanent solution, ongeza kipato nje ya salaryHuo ndiyo utu uzima.
NB;Kwani kukopa dukani kwa Mangi shing ngapi?
Mzizimkavu ametupatia ushauri tuanze kufuga nyoka/kobra.Cobras pay handsomely!Kukopa ni temporary solution, inabidi kuwa na permanent solution, ongeza kipato nje ya salary
Ni kweli ukipoke tarehe tano mpaka tarehe tano ya wezi ujao ipo tofauti gani na anaepokea tarehe 20 na kupokea tarehe 20 mwezi ujao? Mbona ni yale yale tuSisi huku sekta binafsi tunapokeaga hadi tarehe 5, wakae kwa kutulia, hii nchi yetu sote.😎
Hivi Evelyn kwanini humpendi The Mongolian Savage wakati kila siku ana confess kwangu kuwa anakupenda na anataka uache ualimuSawa tu haina shida......
Hivi kumbe Maghayo kabadili jina, nimemmiss sana....mie mbona naacha dakika moja tu, anipe basi chance nkawe hata hausi gelo huko mbeleHivi Evelyn kwanini humpendi The Mongolian Savage wakati kila siku ana confess kwangu kuwa anakupenda na anataka uache ualimu
Yani ungejua tu siku mingi ungeshafika CopenHivi kumbe Maghayo kabadili jina, nimemmiss sana....mie mbona naacha dakika moja tu, anipe basi chance nkawe hata hausi gelo huko mbele