Mjinga sana huyo, asubiri hela za sensa akalewee na kuhongea mademu akapoteze na kishikwambiWe endelea kuisifia CCM na hauna hata check no. Sisi tunalipwa na hiyo serikali yako ya CCM ,lakini tunaipiga virungu bila kuchoka sembuse wewe jobless unaye tegemea buku saba?. Subiri kazi za sensa na kuandikisha wapiga kura.
Kulipwa mshahara sio jambo la hisani, ni wajibu wa serikali na haki ya kila mfanyakazi.Kwanza mshukuru Mama yetu mpendwa kwa kukulipa mshahara kila mwezi na kujaza tumbo lako.
unaongezajeKukopa ni temporary solution, inabidi kuwa na permanent solution, ongeza kipato nje ya salary
Naomba nilipe hilo rejesho na kukupa hela za matumizi ya mwezi mzima.Sa mbona rejesho ni trh 26 jamani nitafanyaje...
Kwa maana huyo basi wafanyakazi wa nchi hii kwa mwezi huu watakua wamefanya kazi kwa zaidi ya siku 30??Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Kwanini isiwe Tarehe 6 ya kila mwezi mpyaTaarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Kwa kufanya shughuli ya kukuingizia kipatounaongezaje
Huyu mpuuzi anajiona Nani? Yeye ndo muajiri?Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Ni kweliLucas Mwashambwa unatakiwa utoe pongezi kwa Mama. Haya nayo ni mafanikio katika utawala wake.