Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Inawezekana serikali inaendelea na maokoto.Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30.
Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
PIA SOMA
- Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?
Ebu kuwa serious kidogoWakuu mshahara tayr wameweka
NMB tayari, ila hakuna daraja wala karavatiEbu kuwa serious kidogo
HahaahahNMB tayari, ila hakuna daraja wala karavati
Ila hata kama ikiwa tarehe 10 hadi tarehe 10 ipo siku tu pesa itarudia kukata huko Hazina na tarehe 10 itafika na watashindwa kuwalipa watumishi na hapo watatafuta sababu ya kuwalipa tarehe 20!Kwanini isiwe Tarehe 6 ya kila mwezi mpya
Eti karavati 🤣🤣NMB tayari, ila hakuna daraja wala karavati
Yani Acha tu Daktari, nimevurugwaaaEti karavati 🤣🤣
Bado hawajaweka mshahara bhnaYani Acha tu Daktari, nimevurugwaaa
Typing error…Laki 2 yakoTayari washaniingizia Milioni 2 yangu...ngoja nikale mbuzi choma chap
Huo si mshahara wa janitor?Typing error…Laki 2 yako
Hakuna sms ya namna hiyo, anayway hongera kwa kibunda, maana ulikuwa unalia sana humuNdugu mteja kasi cha 1.5M kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia ******4 kwa ajili ya malipo ya Mshahara wa mwezi wa sita- NMB Karibu yako
🌝🌝🌝🌝 shimo limetema tayari ngoja nakanywe kamnywesho Sasa nikaweke heshima bar hahahahahahahaha
Mlima ufuta
Humu jf Kila mtu ni tajiri analipwa mabilion!!! Ila tusidanganyane pesa hiyo sio mbaya watu wanasota hawapati hata laki tanoKwa budget hizo huo mshahara utadumu mwezi kweli? Hongereni lakini