Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

Taarifa kutoka TUCTA

Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30.

Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.

PIA SOMA
- Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?
Inawezekana serikali inaendelea na maokoto.
 
Ndugu mteja kasi cha 1.5M kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia ******4 kwa ajili ya malipo ya Mshahara wa mwezi wa sita- NMB Karibu yako

🌝🌝🌝🌝 shimo limetema tayari ngoja nakanywe kamnywesho Sasa nikaweke heshima bar hahahahahahahaha

Mlima ufuta
Hakuna sms ya namna hiyo, anayway hongera kwa kibunda, maana ulikuwa unalia sana humu
 
Back
Top Bottom