Kuanzia Sasa 3 Asubuhi ya Leo kila mwana Simba SC usikae mbali na 'JamiiForums' kwani nakuja na 'Exclusives' Kubwa Saba za HATARI sana

................tunasubiri ubuyu watani wenzetu mwaka huu mtapata tabu sana divide and rule itawagawanya simba vipande vipande.

mmeshaanza kumuingiza Samia l
kwenye matatizo yenu.
 
Sasa unaenda Kuvunja mkataba wa Habib Kyombo kutoka Singida aje Umbumbumbuni alafu unataka ubingwa!!!
Yaani jeuri iyo yoote kisa mnaringia uchawi kwakua CAF wamewatambua kama klabu ya kichawi zaidi Barani Afrika!!!
 
Mh ww jamaa hamna kitu, mara unakuja na hoja za kujifanya ww ni mnyarwanda, mara ujicanye mtu wa TISS, mara ujifanye mtu wa TFF

Mwisho wa yote ninuozo mtupu.
Umemaliza au bado? Mimi ndiyo GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer'
 
Pole sana kwa Kuteswa na 'Natural Charm' yangu. Mimi ndiyo GENTAMYCINE na hakuna Mwingine.
 
Sasa unaenda Kuvunja mkataba wa Habib Kyombo kutoka Singida aje Umbumbumbuni alafu unataka ubingwa!!!
Yaani jeuri iyo yoote kisa mnaringia uchawi kwakua CAF wamewatambua kama klabu ya kichawi zaidi Barani Afrika!!!
Hawa utawaachaje kwa uchawi bwana uto?
 

Attachments

  • FB_IMG_16558201034602352.jpg
    39.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220702-233857_Twitter.jpg
    137.9 KB · Views: 5
Sasa unaenda Kuvunja mkataba wa Habib Kyombo kutoka Singida aje Umbumbumbuni alafu unataka ubingwa!!!
Yaani jeuri iyo yoote kisa mnaringia uchawi kwakua CAF wamewatambua kama klabu ya kichawi zaidi Barani Afrika!!!
Wewe umemsajili nani mchezaji wa maana hapo jangwani?
 
Mkuu Genta saa 4 na dakika zake twasubiri .
 
Samia hadi 2030 vipi wewe ni Mungu?.
Naheshimu andiko lako ila tu nikwambie kuwa hakuna hali ya kudumu maishani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…