GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Jun 15, 2022 #1 Nadhani tumeshaelewana sasa Wewe njoo Kwangu kwa Mazoea ya Kutizama Taarifa za Habari utaishia Mlangoni.
Nadhani tumeshaelewana sasa Wewe njoo Kwangu kwa Mazoea ya Kutizama Taarifa za Habari utaishia Mlangoni.
Nelly JF-Expert Member Joined Jan 25, 2020 Posts 3,338 Reaction score 6,327 Jun 15, 2022 #2 Hapa njia sahihi ni kuwa na smart TV na external hard drive iliyojitoshelez Hiyo hela bora niwape Netflix tuu kama issue ni taarifa ya Habari simu na laptop are there
Hapa njia sahihi ni kuwa na smart TV na external hard drive iliyojitoshelez Hiyo hela bora niwape Netflix tuu kama issue ni taarifa ya Habari simu na laptop are there
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jun 15, 2022 #3 Kwani imeshapitishwa kabisa kwamba tunalipa 3,000/= kama road license ya vingโamuzi? Tulipie kwenye umeme tu yaishe , aagh
Kwani imeshapitishwa kabisa kwamba tunalipa 3,000/= kama road license ya vingโamuzi? Tulipie kwenye umeme tu yaishe , aagh
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 17,003 Jun 15, 2022 #4 ๐๐๐๐
ikhlas JF-Expert Member Joined Jun 25, 2015 Posts 1,050 Reaction score 1,308 Jun 15, 2022 #5 Kwanza umeshaua kunguni hapo geto mkuu?Halafu naskia Nchemba akiumwa UTI anatumia gentamycine?
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 Jun 15, 2022 #6 ๐๐
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 Jun 15, 2022 #7 Sawa popoma
Tafuta Hela JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 1,546 Reaction score 2,983 Jun 16, 2022 #8 Upo kijiji gani kwani Hii tabia dalsalama ni ushamba
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,119 Jun 16, 2022 #9 Jifungie Angalia na mkeo na watoto