You are so sweet….Jogging na yoga nitakufunza, utakuta kale ka carpet kwa ajili yako...
umejua sahihiHivi Shunie ndio anamiliki wa smart siku hizi e?nilijua tu [emoji2]
Sijui utaweza kuhimili mikunjo ya Yoga... na ulivyo unadeka deka hovyo...You are so sweet….
I’m eagerly waiting for that sweetheart
Ni huzuni😄😄😄 sijui kwanini
We chakubanga mufilisi huku mmu sio kwako nenda kwenye siasa zako chuki huko
Hahahh embu njoo piemu mwenyewe unataka sasa nikuonee… njoo babaSijui utaweza kuhimili mikunjo ya Yoga... na ulivyo unadeka deka hovyo...
Hahaha.. Siji sasa hivi pm... Utanitesa...Hahahh embu njoo piemu mwenyewe unataka sasa nikuonee… njoo baba
Hahhha kesho pia atateseka mtu mbona…Hahaha.. Siji sasa hivi pm... Utanitesa...
Kesho nitakutesa wewe hapo, unanijua vile nilivyo msumbufu...Hahhha kesho pia atateseka mtu mbona…
Leo umechoka na kazi sitakutesa
Hahaha alafu nitashindws kulia maana najua ndio utanikomeshaKesho nitakutesa wewe hapo, unanijua vile nilivyo msumbufu...
Badala yake utacheka na navyopenda unavyocheka una kisauti fulani hivi kizuri kukisikiliza...Hahaha alafu nitashindws kulia maana najua ndio utanikomesha
Time to get a rest sweetheartHahaha inapendeza sana.... 😘😘
Saa sita sita huko nitakuja pm...Aya njoo piemu sasa…