Kuanzia sasa ukiulizwa na mpenzi wako swali hili majibu haya hapa

Mimi hata nikichelewa kulala bado nakua sawa... Sinaga uvivu...
Huonagi simu zangu za saa kumi na moja...
Huo muda mie niko mbali kwenye ndoto
Naota tunacheka kuchikuchi hotaheeeπŸ˜†πŸ˜†
 
We chakubanga mufilisi huku mmu sio kwako nenda kwenye siasa zako chuki huko
Pumbavu mkubwa wewe utopolo
Umepokea buku saba zako??
siasa za chuki kwa maneno na matendo waanzilishi ni CHADEMA
 
Yna2 naendelea kusoma koments![emoji23][emoji12][emoji8]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Babe chukua na notes kabisa..uje unihadithie ivooo😘😘😘😘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…