Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wadau JF, Naomba kujua taratibu za kuanzisha BABY CLASS/NURSERY SCHOOL(Lengo ni kuwafundisha watoto wadogo kuandika,kuimba,kusoma,kucheza na kukuza ufahamu wao,halikadhalika kuwalea watoto wadogo wasio na ufahamu wa kufanya mambo mengine kama kusoma nk. Nitashukuru kupata msaada wanu.Unaweza pia nitumia malelezo kupitia emilias03@gmail.com