Imanuelcrypto019
Member
- Feb 18, 2023
- 13
- 11
Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu, nipo DAR ES SALAAM. Nahitaji kuanzisha biashara, nina mtaji kiasi cha 1,000,000. Sasa sijajua ni biashara gani ambayo nifanye, lengo kwa siku nipate faida kuanzia 30,000.