political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
- Thread starter
-
- #41
Kwa Sasa napokea Hilo tusi mpaka hapo utakapoipata wewe na ukapata Cha kuzifanyia. Ukiwa huna hela unakuwa na.mipango kabambe ngoja uipate sasa.Jinga kabisa, una 40million na hujui nini cha kufanyia?
Creative ila mchezo hatariNAKOPESHA MKUU KAUSHA DAMU MKUU😅😅😅View attachment 2706214
Who doesn't have a family? Ni Kama hukuelewa nilichokiandika ngoja nikuache kwanza.I have a family to feed
Samahani kama umelipokea kama tusi ila bado nawaza inakuwaje unakuwa na 40million na hujui cha kuzifanyiaKwa Sasa napokea Hilo tusi mpaka hapo utakapoipata wewe na ukapata Cha kuzifanyia. Ukiwa huna hela unakuwa na.mipango kabambe ngoja uipate sasa.
Pamoja mkuu, mshamba_hachekwi jifunze kijana🤒Asante mkuu kwa mawazo Yako, ni mazuri sana
Nakuelewa Kaka, nili kuwa na mipango na matarajio mengiKwa Sasa napokea Hilo tusi mpaka hapo utakapoipata wewe na ukapata Cha kuzifanyia. Ukiwa huna hela unakuwa na.mipango kabambe ngoja uipate sasa.
Mimi mwenye nilikuwa nashangaa kama wewe wakati sina hizo, Kwa taarifa Yako ukiwa na hela unakuwa na Hali ngumu kuliko hasiyekuwa nayoSamahani kama umelipokea kama tusi ila bado nawaza inakuwaje unakuwa na 40million na hujui cha kuzifanyia
Pole tupo jahazi moja mkuu, yaani hapa nina vipesa vyangu kila kukicha ninadonoa donoa hata nikiangalia sioni cha maana nilichofanyiaNi muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Itakuwa ndo mara ya kwanza unashika hela nyingi zikiwa za kwakoMimi mwenye nilikuwa nashangaa kama wewe wakati sina hizo, Kwa taarifa Yako ukiwa na hela unakuwa na Hali ngumu kuliko hasiyekuwa nayo
Mkuu Ina weza ikawa kweli au si kweli, ila exposure ya kushika hela Ina saidia Sana.Itakuwa ndo mara ya kwanza unashika hela nyingi zikiwa za kwako
mkuu binafsi, nimekupata vema sana. [emoji1787]Ni muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Mkuu hiyo hela itaisha usipokuwa mwangalifu. Ili kujizuia kuitumia nenda ukaidumbukize kwenye fixed account kwa miezi hapo 6 wakati unajitafuta na kupata cha kufanya. Vinginevyo Kata hela kidogo uingie shamba upige Kilimo sehemu ambako kuna mashamba!Kwa Sasa napokea Hilo tusi mpaka hapo utakapoipata wewe na ukapata Cha kuzifanyia. Ukiwa huna hela unakuwa na.mipango kabambe ngoja uipate sasa.
Bro biashara isikie tunaongea hapa tu lakini kuimplement ni kitunkingine, unataka ufungue duka unaangalia mwenye duka jirani anashinda anapiga miahayo na anatafuta mikopoPole tupo jahazi moja mkuu, yaani hapa nina vipesa vyangu kila kukicha ninadonoa donoa hata nikiangalia sioni cha maana nilichofanyia
Hujakosea kabisa , cash money niliyotafuta Kwa nguvu zangu ambazo si deni ndo mara ya kwanzaItakuwa ndo mara ya kwanza unashika hela nyingi zikiwa za kwako
Ni kweli aisee, mwezi mmoja nimepoteza nyingi mno na sioni nimefanya niniMkuu hiyo hela itaisha usipokuwa mwangalifu. Ili kujizuia kuitumia nenda ukaidumbukize kwenye fixed account kwa miezi hapo 6 wakati unajitafuta na kupata cha kufanya. Vinginevyo Kata hela kidogo uingie shamba upige Kilimo sehemu ambako kuna mashamba!
hela yako halafu unakuwa mwoga wa kuifanyia biashara kweli? Haingii akiliniMkuu Ina weza ikawa kweli au si kweli, ila exposure ya kushika hela Ina saidia Sana.
👉Maana mtu hajui aanzie wapi??, Uoga wa kupotea nao ni mkubwa dah🤒
Nunua ardhi pima halafu uza kama viwanja Mfano hapo Dodoma,mji unatanuka sana.Ni muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Boss hii unafanyaje?Uoga wako ndio umasikini wako.
mi niliingia kwenye biashara ya mikopo umiza bila kuhoji wala kufanya data collection.
cha msingi nilijichunga na chuma uleteView attachment 2706206