kuanzisha biashara ya kuku

ASANTELLY

New Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
3
Reaction score
0
jamani naombeni ushauri kidogo nataka kuanzisha biashara ya kuku sasa ni kuku wapi wanafaida sana na wanalipa sana na kama unataka kuanza na kuku mia moja unatakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani?
 
Tembelea kitunda, ujionee mwenyewe en visu,
kisasa vs kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…