Kuanzisha Biashara

Naomba akili yako ikae ikijua kuwa biashara ni risk.
Unaweza ukafanikiwa au la! Jiandae kwa yote mawili.
Kila la heri mkuu na nakuombea ufanikiwe.


Mkuu ili ufanikiwe maishani lazima urisk. Endelea na mipango yako lakini make sure uko na backup eg insurance. ili usije kuwa frustrated.
 
Nipo kwenye the same professional lkn ni Civil Engineer.Unaitwa ukandarasi ni biashara sijui upande wa umeme na mechanical lkn Civil kulingana na daraja ulilonaro mtaji sio issue sana.Tatizo kubwa hapa ni upatikanaji wa kazi na hapo ndio panaitajika pesa ki ukweli,ukipata kazi ukiwa na mkataba waweza kupata malipo ya awali au kuazimwa pesa na mashirika ya fedha.
 
kwa ishu ya capital, nakushauri utafute mkopo toka bank, au financial institution yeyote. kama utakua na assets kama vile nyumba au plot, itakua rahisi zaidi kupata mkopo.
 
Naomba akili yako ikae ikijua kuwa biashara ni risk.
Unaweza ukafanikiwa au la! Jiandae kwa yote mawili.
Kila la heri mkuu na nakuombea ufanikiwe.
hili ni kweli na limeshanitokea ila najipanga upya sijakata tamaa
 
Kazi zipo nyingi tu,unatakiwa uandae fungu la kutafutia Tenda,hapo ndio kazi kubwa,kama contract ni ya millioni 100 unaandaa kifungua bahasha(tender box) kama milioni 7-10,na ukishakuwa awarded unawakilisha fungu lililo salia.
si utani its Just the Sad Facts of contracting in Bongoland
 
Mkuu Dmusa vipi mpango wako umefikia wapi so far
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…