Habari wanajamii wenzangu. Mimi nataka kuanzisha biashara ya nguo za watoto na kike.
Nia yangu nizinunue marekani. Nafahamu kule ni bei juu kidogo na process ni ghali kidogo.
Mimi naomba kwa anayeweza kunisaidia kunipa mchanganuo wa gharama ya kuanzisha,yaani mtaji halisi. Meaning garama za usafiri, Malazi, garama za mizigo na garama on average za kununua nguo.
Nitashukuru sana.
Nia yangu nizinunue marekani. Nafahamu kule ni bei juu kidogo na process ni ghali kidogo.
Mimi naomba kwa anayeweza kunisaidia kunipa mchanganuo wa gharama ya kuanzisha,yaani mtaji halisi. Meaning garama za usafiri, Malazi, garama za mizigo na garama on average za kununua nguo.
Nitashukuru sana.