Kuanzisha Kituo cha Cable TV

Kuanzisha Kituo cha Cable TV

cheguevara

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
1,348
Reaction score
652
Habari,nahitaji mtu wa kuniandikia mpangokazi wa kuanzisha biashara ya cable tv ili kupata mkopo benki,malipo baada ya kupata mkopo,asante!
 
Habari,nahitaji mtu wa kuniandikia mpangokazi wa kuanzisha biashara ya cable tv ili kupata mkopo benki,malipo baada ya kupata mkopo,asante!

uko mkoa gan maana cable wanzipiga sana vita!!
 
Habari,nahitaji mtu wa kuniandikia mpangokazi wa kuanzisha biashara ya cable tv ili kupata mkopo benki,malipo baada ya kupata mkopo,asante!
Weye wataka mkopo wa bank kisha basi, wala huna nia ya kuanzisha biashara ya cable tv
 
Hivi unajua ukikamatwa na cable tv unaijua kesiyake? mwezi wa 1 supersport walikuwa na kamata kamata wewe unataka uanzishe kitu hatari tena kwa mkopo jihadhari mkuu
 
Ina maana sheria hairuhusu mtu kumiliki ama kuendesha biashara hii?,Mchanganuo tafadhali
 
Hii biashara sio rahisi kama watu wanavyofikiria.
Halafu mhusika kumbe huna hata senti,yaani business plan ndio ikupe mkopo Bank kirahisi namna hiyo.

Kwa ushidani uliopo si chini ya milion 100 ili uweze ku run na uwe stable.Tena unaanzaisha kimaskini kwa pesa hiyo
 
Cable Tv zinalipa sana Watanzania tumeshasoma sana haina haja ya kutumia Supper Sport unaweza kutumia King'amuzi kingine na ukapiga hela. watanzania wengi wanapenda mpira wa miguu so ukiwa na nyumba 400 umeziunganisha kwa bei ya Tshs. 10000 kwa mwezi unaweza kupata 4,000,000 kwa mwezi hapo ukijitanua utapata hadi 20,000,000.
 
Cable Tv zinalipa sana Watanzania tumeshasoma sana haina haja ya kutumia Supper Sport unaweza kutumia King'amuzi kingine na ukapiga hela. watanzania wengi wanapenda mpira wa miguu so ukiwa na nyumba 400 umeziunganisha kwa bei ya Tshs. 10000 kwa mwezi unaweza kupata 4,000,000 kwa mwezi hapo ukijitanua utapata hadi 20,000,000.

Mkuu ungefunguka A to Z,ingekuwa faida kwangu mm na wana jamii pia wanaotaka kuingia kwenye biashara hii!
 
Back
Top Bottom