alutesalim
Member
- Jul 11, 2019
- 6
- 3
Naomba ushauri ndugu zangu, nina mtaji wa M15 nataka nifungue kiwanda cha kukoboa mpunga, je hela hyo itatosha?, biashara hii inalipa?, yapi maeneo mazuri yakufanyia kwa wilaya ya mvomero mana mim sio mwenyeji hapo?
Karibuni kwa ushauri
Karibuni kwa ushauri