Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Tunahitaji mtu mwenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya shule ya awali.Tunataka kufungua shule hiyo jijini Tanga,tayari tumeshafanya critical research na kuona fursa zilizopo ila kikwazo ni kianzio cha kuanzia ambacho ni takribani mil 4.
Karibuni tuwekeze kwenye elimu kwa Watanzania.
Karibuni tuwekeze kwenye elimu kwa Watanzania.