At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Muongozo wa mwaka huu unasema hivyoHiyo sheria imeanzishwa lini.
Maana ninachojua huo ni utaratibu waliojiwekea wakuu wa shule ili kupata standard nzuri kwenye kufaulisha ila kuna watu wanabisha wanahonga watoto wao wasome PCB na mara nyingi wanafeli kama ilivyotarajiwa na shule.
Akiwa na C flat wanamzuia, akiwa na labda B flat hata kama ana Div.2 wanamkubalia.
TAMISEMI walitoa taarifa hio