Kubadili combination A Level

Muongozo wa mwaka huu unasema hivyo

TAMISEMI walitoa taarifa hio
 
kama shule aliyopangiwa kuna combi anayotaka akifika anabadili tu wakat wa usajil wa acsee atasajiliwa Kwa comb aliyohamia. Necta wana vigezo vyao tofauti na hivyo vya tamisemi. Labda walimu wagome kumsaidia ila inawezekana kabisa
 
Nilisema Jana ahsante kunisemea Tena mwanangu akipata C ktk masomo yake ya PCB hataenda tena,atasoma kombe za H Kunani hukoo ..mziki wa PCB Sio mchezo
 
T14 Armata , nisaidie tena. Alichagua CBG akachaguliwa HGL. Shule anayokwenda haina CBG. Acha PCB, kama akitaka kubadili kusoma combination nyingine process ikoje?
 
Sijui huyo pia ni wa kike.

Shule nyingi za serikali huwa hazijai idadi ileile ya waliopangiwa. Kuna wanaopangiwa A level ila wakaenda Diploma na kuna wanaoenda private schools hivyo kunakuwa na nafasi chache ambazo mkuu wa shule hawezi iambia wizara kwamba hawajaja, huwa anazijaza mwisho wa kuripoti ukifika Hivyo 'wanauza' zile nafasi, shule ikiwa nzuri enzi zetu 2017-2019 walihamia kwa laki 6 hivi, 2021 kuna mmoja mzee wake alikataa kutoa laki 6. Utaangalia integrity yako inakuruhusu ama la. Kumuhamisha bilabila utaambiwa nafasi hamna.

Kwa sisi walikuwa wanaripoti shule kwanza, then ndio aende yenye CBG. Akiwa hata na C flat na Div.2 ya kama 18 hivi anapokelewa vizuri. Preferably Moshi, kule shule nyingi za A level alafu jamii yao sio maskini kivile (ingawa selection ya A level inachanganya jamii kiasi) so kuna gaps kadhaa za walioenda private, na ni jamii ya hela as you know hawawezi kataa.
T14 Armata , nisaidie tena. Alichagua CBG akachaguliwa HGL. Shule anayokwenda haina CBG. Acha PCB, kama akitaka kubadili kusoma combination nyingine process ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…