Niliwahi sikia uhamisho umefungwa,ila kuna njia unaweza kufanya tafuta mtu wa kubadilishana nae kituo halafu andika barua kisha ipitishe idara zote zinazohushika ila ujikomiti kuwa uhamisho huo hauna malipo......kisha unapeleka K/m utumishi unasubiria majibu