Kubadilisha chuo

Kubadilisha chuo

unasoma chuo gani na unataka kuhamia chuo gani
 
Nimechaguliwa kampala hapa dar nataka kuhamia chuo chochote cha hapa dar kama ikwezekana:duce,st joseph,tumaini au teofilo cha tanga naomba msaada
 
inawezekana cha kufanya ni kuandika barua kwa registr wa chuo unachotaka na course unayotaka kama wanaweza kupatia chance then unakwenda nacte ukifika nacte utapata procedure bt la kwanza ujue a hapo unapotaka umepata ama laa voz kama watakukubali watkupa lettr
 
subiri tcu watoe selection officialy,then itakubd uende chuo unachotaka kuhamia ukaulize km kuna nafasi,km nafas ipo then utaenda tcu kuwajulisha then watakuhamisha
 
Kama unataka kuhama chuo ulichopangiwa kuna haja ya kwenda kuripoti chuoni hapo unapotaka kuhama
 
yap inawezekan, chamsing nenda kaombe nafac chou unachotak kuhamia wakikuambia ipo utaandika barua kwa principal wa chou unachotak kuondok ili akuruhus na pia utaandika barua kw principal wa chuo unachotak kuhamia atakupokea na ataandik barua kwend tcu wakuadmit pal cz chuo hakiwez kufany admissin ni tcu tu ila uw umepat nafac kweny chuo unachotak kwend..USHAUR WANG KWAK.. kwa kuw bado hujaanz kusom unawez kwend tcu nw kuwaomb wakubadilishie chuo wakupangie chuo kingin kwa sababu zinazokufany uhame chou hicho.. u cn do t nw ts pocbl
 
Mimi nimepangiwa i.t muccobs na siitaki. . .siwezi badili faculty kwakua cuttin point za muccobs haziruhusu ifm vipi?
 
Mimi nimepangiwa i.t muccobs na siitaki. . .siwezi badili faculty kwakua cuttin point za muccobs haziruhusu nataka hamia ifm a/c or banking & finance
 
inawezekana cha kufanya ni kuandika barua kwa registr wa chuo unachotaka na course unayotaka kama wanaweza kupatia chance then unakwenda nacte ukifika nacte utapata procedure bt la kwanza ujue a hapo unapotaka umepata ama laa voz kama watakukubali watkupa lettr
nacte?
 
Back
Top Bottom