PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hadi uwanja upo, hayo mashindano mengi huwa wanacheza tu ili kutafuta joto waende wakaoge😃.Kwa hiyo unataka kaniambia arusha hakuna ligi ya mkoa au ligi ya wilaya vijana wote wako mererani😁😁😁 umekariri ujinga sana ase na hata sasa hivi inaendelea chuga cup version ya ndondo cup ya dar na inaudhamini nenda Google search chuga cup...tuachane na hayo nitajie kijana mmoja wa dar aneyeanza first eleven ya yanga
Maana bila kuchezacheza huwa wanaishia kuva masweta wiki mbili hadi mwezi😀.
Anyways, kama sasa hivi mmeanza kuamka na kuzingatia soka ni jambo jema sana, maana za ya ule mchezo wa kukimbia Arusha ilikua hauwasikii kwenye mchezo mwingine😃