Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Umesema kweli lakini hii nchi sijui huwa inaongozwa na chuki na mihemko li nchi la ovyo takataka kabisa.
 
Nashauri watu wa mikoa duni huko Mbeya na usukumani mtembee hata mfike kanda ya kaskazini mpate exposure kidogo mnaweza kupata maendeleo.
 
mwana na mbeya hakuna hoteli nyingi za hadhi
 
Nashauri watu wa mikoa duni huko Mbeya na usukumani mtembee hata mfike kanda ya kaskazini mpate exposure kidogo mnaweza kupata maendeleo.
Unataka tushangae ngedere na wamasai wa ngorongoro au nyumba za tope pale ungalimited na mitaa ya kaliba hiyo.
 
Arusha ni mji bora na uliondelea kuliko mwanza. na ni mji wenye infrastructures bora kuliko Mwanza na mbeya combined.
Mimi nilitamani iwe Arusha, Dar na Zanzibar. Hiyo mikoa mingine imekaa kushoto.
Unazungumzia infrastructure gani ambazo arusha zipo na mwanza hamna? Au umejaa chuki zako.
 
Unataka tushangae ngedere na wamasai wa ngorongoro au nyumba za tope pale ungalimited na mitaa ya kaliba hiyo
Utashangaa mengi bro. Sasa jiulize nyumba za tope hapo Unga ukitembea km 3 tu unakutana na five star hotels za kutisha Tanzania. Mbeya unaweza kukuta kitu kama hicho? Uniqueness nayo ni muhimu.

Nenda Nairobi angalia Kibera ipo town
 
Toa mfano wa events ambazo Arusha haina.
Baada ya hayo mashindano huo uwanja utaenda kutumika kwenye nini hapo Arusha, mmezoea kujilimbikizia miradi kwa kutumia jasho la mikoa mingine.
 
Ule mji wanafaa waishi wahuni na watu waliokosa utu na ustaharabu
 
Kama nyinyi mnabaguliwa na sisi wa Ruvuma, Mtwara na Lindi tusemeje?
Nyie nendeni mkalie madarasa, zahanati na barabara za changarawe za kupisha mazao kutoka shambani hii ligi achaneni nayo.
 
Kuna muda plug huwa hazichomi😂😂😂😂😂
 
Mbeya mbona maendeleo mengi tu yamepelekwa huko? Duka la Vunjabei si mmeletewa? Pia tayari mna jengo lenye lift na stendi ya Uyole. Mwanza nako tayari wana sanamu ya Samaki anayetoa maji. Pia tayari wamejengewa bar kubwa ya Cask. Serikali itawashawishi wenye mabasi mazuri ya kaskazini wayapeleke pia ruti za huko Mbeya na Mwanza maana ndo kuna wapumbavu wanaojiita wanazi hukaa stendi na kushangilia mabasi.
 

Attachments

  • Nilijua watakuwa wamebadilika baada ya kupata nafasi ya kuongoza nchi kumbe NDO .mp4
    7.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…