Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu

Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Wakuu kheri nyingi kwenu nyote.

Tuanzie hapa.

Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman.
Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk.

Baada ya kuja basi walikaa wakasema hawa watu (africa) ni binadamu wenzetu hakuna haja ya kujitenga nao na kuwa tofauti nao itaonekana tunawabagua.Ni watu wazima wanajielewa haina maana ya sisi kuwa na sehemu yetu ya mabafu/choo na sehemu ya kuogea.

Kweli ikawa hivyo jamaa wakapewa sehemu za kuweka vitu vyao ni baadhi tu ya viongzi wakubwa hawakupewa mle maana wao mara nyingi zaidi huwa wanakuwa ofisini tu hawashuki( )

Hivyo wazungu walikuwa wengi sana kama wafanyakazi kwa makisio walikuwa kama 33.

Jambo la kusitikisha na kushangaza ni kwamba Tabia zetu nadhani huwa zipo kwenye Damu! Imagine mtu anajisadia haja kubwa ha flsh choo mzigo unakuwa juu ya sink asee.Mtu anaingia kukojoa anasimama mlangoni anakojoa ovyo kama kalewa.

Ukienda bafuni mtu katoka kwake na dodoki la sandarusi anaoga na kuliacha chini ovyo ovyo,Ukiacha taulo umeitundika basi utakaporudi utakuta mwenzio kafutia viatu vyake na kwenda zake!! Huko chooni mtu utakuta kaandika ukutani vitu vya ajabu ajabu.Ukumbuke kuwa waajiliwa wote ni kuanzia miaka 18+ hivyo hakuna mtoto.

Lakini yanayo fanyika hadi unakoswa jibu.Mkiwa kwenye foleni ya kutoka kazini watu wanasukumana utadhani ni watoto.

Basi hawa wazungu wakawa wanatuuliza hivi ninyi huwa mnamatatizo gani? Inawezekana vipi mpo foleni lakini bado mnasukamana?Huko chooni ilibidi HR wawatenge tu wakawa na wing yao na ukienda kucheki hapanuki na pasafi muda wote.Ingia kwa wabongo sasa mtu hadi kanyea pembeni imagine! tena unaweza kutana mtu sawa na mzee wako kabisa anatoka chumba fln cha choo ukiingia unakuta mzigo hadi unaona kinyaa na aibu kumita aje aflsh!


Enzi hizo tuna soma nilikuwa najua ni akili za kitoto watu kuandika chooni hii niliona nikawaida kwa kipindi hicho. Cha ajabu mtu anatoka kwakwe kaaga watoto wake anakuja kazini halafu anafanya ujinga ujinga.


Utupaji wa taka nao ni ovyo ovyo wakaona huenda hawa wana changamoto ya kusoma wengi wao hawajui kusoma maana taka huwa tunaweka kila taka sehemu yake

MFANO:- Nylon,mbao,chuma na palstik ngumu sehemu yake na pameandika .Ajabu ni kwamba mtu anaweka oili chafu humohumo vyakula nk kwenye pipa moja(bini)

Wakaona isiwe tabu wakaaandika kwa lugha zote wakapiga na picha kila bini/pipa likawa na maandishi na picha zake kabisa bado wakaona haitoshi wakayapaka rangi.

MFANO:- Njano,nyeusi,blue nk ili iwe rahisi kutofautisha na viongozi wakapita kila idara kutoa ufafanuzi wakapewa na nafasi ya kuuliza maswali wakauliza na kujibiwa na wakakili wameelewa lakini mambo ya kabaki ni yaleyale!!


Ieleweke kuwa hapa nazungmzia kila kabila la Tz lipo na tabia ni zilezile na baadhi ya mataifa ya waafrica yapo hapa zaidi ya 10 lakini tabiana za waafrica zinashaabiana kwa ukaribu sana.

Basi siku moja nilikuwa na offside expert mmoja hivi kutoka misri alikuwa mwislam pure kila muda dua.Alikuwa anatembea na kamzura fln hivi kama kanyagio zito ila kina picha ya mskiti.Hicho ndo alikuwq anatumia kutandika kisha kuanza kuomba dua zake.

Wakuu jamaa alitandika vzr kisha akaanza kuomba dua zake anainama hadi chini kama kawaida huku mimi ni kila msosi wangu ukumbuke hapo tupo Underground .Baada ya kumaliza dua akaanza kukunja mzura wake huwezi amini alikuwa katandika sehemu yenye mavi ya mtu.ajabu sana......Jamaa yule alitukana kiarabu kama dk3 bahati mbaya sikumuelewa alikuwa anasema nini alipotoka hapo alienda kukaa refuge chamber kwa muda sana.

Aliyejisaidia pale choo (portable toillet) ilikuwa mita kama saba ama kumi tu kuifikia lakini akaona ajisaidie hapo haijulikani alichambia nini!

(IPO SIKU NITALETA UZI KUELEZEA UNDERGROUND PALIVYO)


Kwa mifano hii watu wakitutenga na kutubagua kwanini tuwaone ni wabaguzi? Maana hizi tabia za ushenzi zimeshakuwa sehemu ya maisha yetu. Hawa jamaa wanajitahidi sana kuweka mazingira yetu sawa lakini ajabu ndo tunaharibu wala sio kwa bahati mbaya.



Waafrika tunashida gani?
 
Nilipofika Advance nilikuwa naona watu wa ajabu katika foleni ya chakula , watu tunatumia vyoo na mabafu kwa shughuli zetu za bwenini ila watu bado wanavunja koki ,hawasafishi .

Mpaka ofisini ni hivyo mkipanga foleni kweny seminar muda wa kula , kuna watu wanajifanya hawafuati utaratibu na haraka zao ...Wabongo wengi ustaarabu ni sifuri kabisa bila ya kujali umri wao .

Wabongo nchi za nje wanateseka kwa ujinga wao , kazi kubwa kulalamikia ubaguzi .
 
Nilipofika Advance nilikuwa naona watu wa ajabu katika foleni ya chakula , watu tunatumia vyoo na mabafu kwa shughuli zetu za bwenini ila watu bado wanavunja koki ,hawasafishi .

Mpaka ofisini ni hivyo mkipanga foleni kweny seminar muda wa kula , kuna watu wanajifanya hawafuati utaratibu na haraka zao ...Wabongo wengi ustaarabu ni sifuri kabisa bila ya kujali umri wao .

Wabongo nchi za nje wanateseka kwa ujinga wao , kazi kubwa kulalamikia ubaguzi .
Swala koki hata makazini hazidumu hata walete imara kiasi gani gani.Unajiuliza hawa makwao wanaishije?
sijui lini tutakuwa na ustaarabu asee.
 
Swali moja:

Je kwenye maslahi hao wageni walikuwa wanalipwa sawasawa na ninyi wazawa?

Ujinga ni tabia kwa mwafrika
Hapana mkuu hazilingani kwa wazawa ila kama wamekutoa nchi zingine kama ghana hela heal huwa nzuri unaweza hata kuwazidi.Ila kama umetoka hapahapa tz huwezi wafikia hata robo.

Pia kuna utofauti wa machine unayo oparate ndo kigezo cha kutofautiana mishahara.
 
Kwa hiyo mlitengwa mkapewa choo chenu na wazungu chao 😂, ubaguzi mimi nisingekubali
Muda mwingine unaona sawa tu acha jamaa wabaguliwe maana hatuelemiki ukweli ni kwamba wenzetu miili yao haistahimili changamoto kama hizo.Kwanza walianza mmoja mmoja akawa haogi wala kutumia hizi choo na mabafu wakawa wanaenda wachafu hadi camp kwao ndo wanaoga huko
 
Wakuu kheri nyingi kwenu nyote.

Tuanzie hapa.

Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman.
Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk.

Baada ya kuja basi walikaa wakasema hawa watu (africa) ni binadamu wenzetu hakuna haja ya kujitenga nao na kuwa tofauti nao itaonekana tunawabagua.Ni watu wazima wanajielewa haina maana ya sisi kuwa na sehemu yetu ya mabafu/choo na sehemu ya kuogea.

Kweli ikawa hivyo jamaa wakapewa sehemu za kuweka vitu vyao ni baadhi tu ya viongzi wakubwa hawakupewa mle maana wao mara nyingi zaidi huwa wanakuwa ofisini tu hawashuki( )

Hivyo wazungu walikuwa wengi sana kama wafanyakazi kwa makisio walikuwa kama 33.

Jambo la kusitikisha na kushangaza ni kwamba Tabia zetu nadhani huwa zipo kwenye Damu! Imagine mtu anajisadia haja kubwa ha flsh choo mzigo unakuwa juu ya sink asee.Mtu anaingia kukojoa anasimama mlangoni anakojoa ovyo kama kalewa.

Ukienda bafuni mtu katoka kwake na dodoki la sanadarusi anaoga na kuliacha chini ovyo ovyo,Ukiacha taulo umeitundika basi utakaporudi utakuta mwenzio kafutia viatu vyake na kwenda zake!! Huko chooni mtu utakuta kaandika ukatani vitu vya ajabu ajabu.Ukumbuke kuwa waajiliwa wote ni kuanzia miaka 18+ hivyo hakuna mtoto.

Lakini yanayo fanyika hadi unakoswa jibu.Mkiwa kwenye foleni ya kutoka kazini watu wanasukumana utadhani ni watoto.

Basi hawa wazungu wakawa wanatuuliza hivi ninyi huwa mnamatatizo gani? Inawezekana vipi mpo foleni lakini bado mnasukamana?Huko chooni ilibidi HR wawatenge tu wakawa na wing yao na ukienda kucheki hapanuki na pasafi muda wote.Ingia kwa wabongo sasa mtu hadi kanyea pembeni imagine! tena unaweza kutana mtu sawa na mzee wako kabisa anatoka chumba fln cha choo ukiingia unakuta mzigo hadi unaona kinya na aibu kuita aflsh!


Enzi hzo tunasoma nilikuwa najua ni akili za kitoto watu kuandika chooni hii niliona nikawaida kwa kipindi hicho. Cha ajabu mtu anatoka kwakwe kaaga watoto wake anakuja kazini halafu anafanya ujinga ujinga.


Utupaji wa taka nao ni ovyo ovyo wakaona huenda hawa wana changamoto ya kusoma wengi wao hawajui kusoma maana taka huwa tunaweka kila taka sehemu yake

MFANO:- Nylon,mbao,chuma na palstik ngumu sehemu yake na pameandika na.Ajabu ni kwamba mtu anaweka oili chafu humohumo vyakula nk kwenye pipa moja(bini)

Wakaona isiwe tabu wakaaandika kwa lugha zote wakapiga na picha kila bini/pipa likawa na maandishi na picha zake kabisa bado wakaona haitoshi wakayapaka rangi.

MFANO:- Njano,nyeusi,blue nk ili iwe rahisi kutofautisha na viongozi wakapita kila idara kutoa ufafanuzi wakapewa na nafasi ya kuuliza maswali wakauliza na kujibiwa na wakakili wameelewa lakini mambo ya kabaki ni yaleyale!!


Ieleweke kuwa hapa nazungmzia kila kabila la Tz lipo na tabia ni zilezile na baadhi ya mataifa ya waafrica yapo hapa zaidi ya 10 lakini tabiana za waafrica zinashaabiana kwa ukaribu sana.

Basi siku moja nilikuwa na offside expert mmoja hivi kutoka misri alikuwa mwislam pure kila muda dua.Alikuwa anatembea na kamzura fln hivi kama kanyigio zito ila kina picha ya mskiti.Hicho ndo alikuwq anatumia kutandika kisha kuanza kuomba dua zake.

Wakuu jamaa alitandika vzr kisha akaanza kuomba dua zake anaima hadi chini kama kawaida huku mimi nikila msosi wangu ukumbuke hapo tupo Underground .Baada ya kumaliza dua akaanza kukunja mzura wake huwezi amini alikuwa katandika sehemu yenye mavi ya mtu.ajabu sana......Jamaa yule alitukana kiarubu kama dk3 bahati mbaya sikumuelewa alikuwa anaema nini alipotoka hapo alienda kaa refuge chamber muda sana.

Aliyejisaidia pale choo (portable toillet) ilikuwa mita kama saba ama kumi tu kuifikia lakini akaona ajisaidie hapo haijulikani alichambia nini!

(IPO SIKU NITALETA UZI KUELEZEA UNDERGROUND PALIVYO)


Kwa mifano hii watu wakitutenga na kutubagua kwanini tuwaone ni wabaguzi? Maana hizi tabia za ushenzi zimeshakuwa sehemu ya maisha yetu. Hawa jamaa wanajitahidi sana kuweka mazingira yetu sawa lakini ajabu ndo tunaharibu wala sio kwa bahati mbaya.



Waafrika tunashida gani?
Ndio asili ya mtu mweusi popote pale duniani
 
Tunakosea sana imagine mapipa yapo zaidi ya saba na kila taka umepigiwa hadi picha na kuandikiwa aina ya uchafu unaopaswa uwekwe kwenye bin husika cha ajabu bin la mabaki ya chakula unaweka mbao,chuma,machupa ya maji nk huu si upumbavu kabisa
Bro hata black Americans pamoja na kukulia kwao kote Marekani ila tabia ni hizi hizi, nimekaa na hao jamaa almost 2 yrs ni hivyo tu kidogo wanaojitahidi ni wacomorro
 
MKUU wetu wa shule alienda ulaya kisha china, aliporudi alituambia "ni either sisi au wazungu", mmojawapo sio BINADAMU KABISA.....🥲
Nilichogundua jamaa wanatuvumilia sana na wameshatuelew tulivyo! Mtu maji yapo na haflash choo. Kuna wengine anakumbia kafanya kazi canada ama australia kwa miaka8 lakini vitu anavyofanya unajiuliza mara mbili mbili.
Tena huyohuyo anakwambia huu ujinga unafanyika hapa kwa wenzetu huwezi fanya yeye mwenyewe anafanya
 
ni shida mkuu, Kuna frame nilizo pangisha, majitu Yana tumia choo Kama Yana kufa😂🤣
Mtu anaweza kojoa popote pale ili mradi tu kusiwe na cctv camera na haonekani na huyo ni kiongozi wako kabisa na hawazi. Siku moja tembelea kwenye machimbo haya madogo uone watu wanajisadia porini kama wanyama
 
Back
Top Bottom