Nadhani tabia zetu pia zinawapa ugumu sana viongozi wenye nia ya dhati kuendeleza mataifa yao,..mwisho hao viongozi wanaamua kuendana na mdundo wa wananchi wao tu,....Nilichogundua jamaa wanatuvumilia sana na wameshatuelew tulivyo! Mtu maji yapo na haflash choo. Kuna wengine anakumbia kafanya kazi canada ama australia kwa miaka8 lakini vitu anavyofanya unajiuliza mara mbili mbili.
Tena huyohuyo anakwambia huu ujinga unafanyika hapa kwa wenzetu huwezi fanya yeye mwenyewe anafanya
InawezekanaNadhani tabia zetu pia zinawapa ugumu sana viongozi wenye nia ya dhati kuendeleza mataifa yao,..mwisho hao viongozi wanaamua kuendana na mdundo wa wananchi wao tu,....
fikiria kwa mfano wamachinga kuuzia bidhaa zao bararani,..ujenzi wa makazi pembezoni mwa barabara au mabondeni kwenye mmafuriko,..sasa angalia reaction ya watu anapokuja kiongozi mwenye akili TIMAMU kuwatoa,...ndo utajua hatuna akili..mtu anakwambia unaemfukuza hapo ana familia ana ilisha, na yeye anaona hio ndo hoja ya kuzuia asiondolewe......Inawezekana
Ukitaka kujua ustaarabu wako kaa kwenye watu wa mataifa tofauti tofauti na bara tofauti hapo ndo utaona ulivyo.Kuna sehemu nilienda jamani wakuta mmama kabisa anatembea peku,
Basi usiombe kwenye sherehe mtu wali anaula kama ugali jamani
Ila sio wote wastaarab tupo.
Tunashida kubwa sana huu ndo ukwelifikiria kwa mfano wamachinga kuuzia bidhaa zao bararani,..ujenzi wa makazi pembezoni mwa barabara au mabondeni kwenye mmafuriko,..sasa angalia reaction ya watu anapokuja kiongozi mwenye akili TIMAMU kuwatoa,...ndo utajua hatuna akili..mtu anakwambia unaemfukuza hapo ana familia ana ilisha, na yeye anaona hio ndo hoja ya kuzuia asiondolewe......
Na huko ndiko nilijifunza ustaraab sijalelewa tzUkitaka kujua ustaarabu wako kaa kwenye watu wa mataifa tofauti tofauti na bara tofauti hapo ndo utaona ulivyo.
Kuna mwingereza alikuwa akikutana hata kifuniko cha chupa ya maji/soda anainama kukiokota na kuweka sehemu husika!! imagine sisi tunaweza? akiona karatasi hata yupo kwenye gari anashuka anaichukua.
Kuna siku nilijiuliza sana na kufikiri labda ni mateso ya enzi na enzi ndio yametufanya hivi.Bro hata black Americans pamoja na kukulia kwao kote Marekani ila tabia ni hizi hizi, nimekaa na hao jamaa almost 2 yrs ni hivyo tu kidogo wanaojitahidi ni wacomorro
Hongera sana huko shida tupuNa huko ndiko nilijifunza ustaraab sijalelewa tz
Nenda maofisini tra mahakamani hapo muhimbili sijui wapi uwanja wa mipira oyaa vyoo vya kina mama na baba aibu sijui watu wameviona maofisini yaani shidaElimu haijatusaidia kuwa wastaarabu
Mkuu kuna muda huwa nakaa na angalia kwenye mabini jinsi watu wanavyo weka uchafu/taka nakoswa jibu. yaani bini zipo zaidi ya5 lakini inzyowekewa uchafu ni hiyohiyo moja hadi ina jaa na kumwagika.Wanahusika na kutupa hizi taka huwa nawaonea huruma sana ukienda kuangalia labda ma-bin mengine yamejaa ukifika yako empty.Na kwambia huwa sipati jibu kwanini iwe hivi kila siku?Kuna siku nilijiuliza sana na kufikiri labda ni mateso ya enzi na enzi ndio yametufanya hivi.
Ila ukiwaangalia black Americans, wajamaica , black South Africans na watanzania wa kariakoo. Tabia hatupishani
Lugha huwa zimejaa matusi na hatuishi kwa mpangilio. Wizi wizi etc
Itabidi ifanyike research
Clips unazoziona watu wanapigwa wengine ni wafnyakazi wa ndani , basi tambua kuna visa wanafanya ...Watu si vichaa kupiga watu , mtu akae huko miaka 4 then aanze kupigwa bila ya sababu .Inawezekana hizi ndizo sababu kwanini tukawa weusi black kila kona hata ubongo una akili nyeusi
Mm vacation ya sec nilienda znz na familia abt 3 weeks sikusikia tusi nilirud dar jioni asbh naenda duka kununua mahitaji napishana na mama ana mdera anamwambia mwanae we msenge kazana nikaona ustarab tz zero sijui muingilianoKuna siku nilijiuliza sana na kufikiri labda ni mateso ya enzi na enzi ndio yametufanya hivi.
Ila ukiwaangalia black Americans, wajamaica , black South Africans na watanzania wa kariakoo. Tabia hatupishani
Lugha huwa zimejaa matusi na hatuishi kwa mpangilio. Wizi wizi etc
Itabidi ifanyike research
Hao wa barabarani wakitolewa then uongozi ukikaa kimya wanarudi ...Wale mgambo wanakuwa harsh kwa hao jamaa kutokana hawaelewi.fikiria kwa mfano wamachinga kuuzia bidhaa zao bararani,..ujenzi wa makazi pembezoni mwa barabara au mabondeni kwenye mmafuriko,..sasa angalia reaction ya watu anapokuja kiongozi mwenye akili TIMAMU kuwatoa,...ndo utajua hatuna akili..mtu anakwambia unaemfukuza hapo ana familia ana ilisha, na yeye anaona hio ndo hoja ya kuzuia asiondolewe......
Kama ni tabia waarabu wanaweza kuwa moja ya jamii yenye tabia za hovyo zaidiWakuu kheri nyingi kwenu nyote.
Tuanzie hapa.
Miaka kadhaa iliyopita hapa kazini ulikuja uongozi mpya wa wazungu kuanzia ngazi ya gm,super hadi kwa foreman.
Hawa wazungu walikuwa wametoka Mataifa tofauti tofauti kama Canda,australia na ufilipino na hata indonesia nk.
Baada ya kuja basi walikaa wakasema hawa watu (africa) ni binadamu wenzetu hakuna haja ya kujitenga nao na kuwa tofauti nao itaonekana tunawabagua.Ni watu wazima wanajielewa haina maana ya sisi kuwa na sehemu yetu ya mabafu/choo na sehemu ya kuogea.
Kweli ikawa hivyo jamaa wakapewa sehemu za kuweka vitu vyao ni baadhi tu ya viongzi wakubwa hawakupewa mle maana wao mara nyingi zaidi huwa wanakuwa ofisini tu hawashuki( )
Hivyo wazungu walikuwa wengi sana kama wafanyakazi kwa makisio walikuwa kama 33.
Jambo la kusitikisha na kushangaza ni kwamba Tabia zetu nadhani huwa zipo kwenye Damu! Imagine mtu anajisadia haja kubwa ha flsh choo mzigo unakuwa juu ya sink asee.Mtu anaingia kukojoa anasimama mlangoni anakojoa ovyo kama kalewa.
Ukienda bafuni mtu katoka kwake na dodoki la sandarusi anaoga na kuliacha chini ovyo ovyo,Ukiacha taulo umeitundika basi utakaporudi utakuta mwenzio kafutia viatu vyake na kwenda zake!! Huko chooni mtu utakuta kaandika ukutani vitu vya ajabu ajabu.Ukumbuke kuwa waajiliwa wote ni kuanzia miaka 18+ hivyo hakuna mtoto.
Lakini yanayo fanyika hadi unakoswa jibu.Mkiwa kwenye foleni ya kutoka kazini watu wanasukumana utadhani ni watoto.
Basi hawa wazungu wakawa wanatuuliza hivi ninyi huwa mnamatatizo gani? Inawezekana vipi mpo foleni lakini bado mnasukamana?Huko chooni ilibidi HR wawatenge tu wakawa na wing yao na ukienda kucheki hapanuki na pasafi muda wote.Ingia kwa wabongo sasa mtu hadi kanyea pembeni imagine! tena unaweza kutana mtu sawa na mzee wako kabisa anatoka chumba fln cha choo ukiingia unakuta mzigo hadi unaona kinyaa na aibu kumita aje aflsh!
Enzi hizo tuna soma nilikuwa najua ni akili za kitoto watu kuandika chooni hii niliona nikawaida kwa kipindi hicho. Cha ajabu mtu anatoka kwakwe kaaga watoto wake anakuja kazini halafu anafanya ujinga ujinga.
Utupaji wa taka nao ni ovyo ovyo wakaona huenda hawa wana changamoto ya kusoma wengi wao hawajui kusoma maana taka huwa tunaweka kila taka sehemu yake
MFANO:- Nylon,mbao,chuma na palstik ngumu sehemu yake na pameandika .Ajabu ni kwamba mtu anaweka oili chafu humohumo vyakula nk kwenye pipa moja(bini)
Wakaona isiwe tabu wakaaandika kwa lugha zote wakapiga na picha kila bini/pipa likawa na maandishi na picha zake kabisa bado wakaona haitoshi wakayapaka rangi.
MFANO:- Njano,nyeusi,blue nk ili iwe rahisi kutofautisha na viongozi wakapita kila idara kutoa ufafanuzi wakapewa na nafasi ya kuuliza maswali wakauliza na kujibiwa na wakakili wameelewa lakini mambo ya kabaki ni yaleyale!!
Ieleweke kuwa hapa nazungmzia kila kabila la Tz lipo na tabia ni zilezile na baadhi ya mataifa ya waafrica yapo hapa zaidi ya 10 lakini tabiana za waafrica zinashaabiana kwa ukaribu sana.
Basi siku moja nilikuwa na offside expert mmoja hivi kutoka misri alikuwa mwislam pure kila muda dua.Alikuwa anatembea na kamzura fln hivi kama kanyagio zito ila kina picha ya mskiti.Hicho ndo alikuwq anatumia kutandika kisha kuanza kuomba dua zake.
Wakuu jamaa alitandika vzr kisha akaanza kuomba dua zake anainama hadi chini kama kawaida huku mimi ni kila msosi wangu ukumbuke hapo tupo Underground .Baada ya kumaliza dua akaanza kukunja mzura wake huwezi amini alikuwa katandika sehemu yenye mavi ya mtu.ajabu sana......Jamaa yule alitukana kiarabu kama dk3 bahati mbaya sikumuelewa alikuwa anasema nini alipotoka hapo alienda kukaa refuge chamber kwa muda sana.
Aliyejisaidia pale choo (portable toillet) ilikuwa mita kama saba ama kumi tu kuifikia lakini akaona ajisaidie hapo haijulikani alichambia nini!
(IPO SIKU NITALETA UZI KUELEZEA UNDERGROUND PALIVYO)
Kwa mifano hii watu wakitutenga na kutubagua kwanini tuwaone ni wabaguzi? Maana hizi tabia za ushenzi zimeshakuwa sehemu ya maisha yetu. Hawa jamaa wanajitahidi sana kuweka mazingira yetu sawa lakini ajabu ndo tunaharibu wala sio kwa bahati mbaya.
Waafrika tunashida gani?
Uswazi kuna matusi sana na ni ngumu mtu kutokuwa nayo mdomoni kwa sababu mtukanaji na mtukanwa wote wanaona kawaida.Mm vacation ya sec nilienda znz na familia abt 3 weeks sikusikia tusi nilirud dar jioni asbh naenda duka kununua mahitaji napishana na mama ana mdera anamwambia mwanae we msenge kazana nikaona ustarab tz zero sijui muingiliano
Inasikitisha sanaMkuu kuna muda huwa nakaa na angalia kwenye mabini jinsi watu wanavyo weka uchafu/taka nakoswa jibu. yaani bini zipo zaidi ya5 lakini inzyowekewa uchafu ni hiyohiyo moja hadi ina jaa na kumwagika.Wanahusika na kutupa hizi taka huwa nawaonea huruma sana ukienda kuangalia labda ma-bin mengine yamejaa ukifika yako empty.Na kwambia huwa sipati jibu kwanini iwe hivi kila siku?
Damu haisahau asiliNikweli hata hapa naona jamaa anapelekwa ulaya kwa miaka3 akirudi tabia zilezile tu
Sidahni kama ukoloni maana ingekua hivyo hata asins kama wahindi wangekuwa hivyo japo wahindi nao wengi wanatabia kama za kiafrikaKuna siku nilijiuliza sana na kufikiri labda ni mateso ya enzi na enzi ndio yametufanya hivi.
Ila ukiwaangalia black Americans, wajamaica , black South Africans na watanzania wa kariakoo. Tabia hatupishani
Lugha huwa zimejaa matusi na hatuishi kwa mpangilio. Wizi wizi etc
Itabidi ifanyike research