Kubaguliwa kwa waafrika na watu weupe huenda sababu kuu ni Tabia zetu zilizo ndani ya damu zetu

Hili ni kweli na tunatakiwa tubadilike sana

Nikiwa chuo, ukiingia chooni hukosi maandishi na masinki kupasuka. Nilikuwa napata shida sana kujua aina ya watu tuliokuwa pale chuoni na vile tunajiita wasomi

Huruma sana
 
Kuna watu wanaweza kufanya hivyo ndio na kwa sababu hiyo hiyo ya msongo uletwao na kunyanyaswa au kutokujaliwa...
huuu sasa ndo ujinga wa Mwafrika,...yani kukulipa kidogo ndo unye pembeni, au usiflashi?,,,...sasa kesho wewe utaenda kunya wapi?..au kwa kufanya hivyo ndo nitakuongeza mshahara kama mfanyakazi bora wa kunya pembeni?...au kunya pembeni ndo njia ya kudai HAKI?..🤔🤔🤔... WAAFRICA 🙌🙌
 
Kama uliwahi kuambiwa kuwa binadami ni wanyama, Sasa hao wanyama wanaozungumziwa ni waafrika.
huwa nasema kosa kubwa ni la mzungu,...alikuja africa akakuta viumbe havieleweki ni nini, ye akaviita waafrica na kuvilazimisha kuwa watu,..matokeo yake ndo haya,...miaka 60 ya uhuru hivi viumbe bado vinaimba "Nyumba ni choo" bado vinakula mavi mpaka vinaumwa KIPINDUPINDU....🚮🚮
 
Tatizo ni malezi na mazingira tunayo kuzwa nayo.
uko sahihi sana....angalia watoto wetu hawa,... mtoto anakula utafikiri anakimbizwa, ana matusi na kagomvi balaa....lakini mzazi wake anamwangalia tu na kujisemesha " mtoto mtundu huyu"...sasa litoto kama hili likikua unadhani litakuaje kama sio lishenzi tu!....
 
Hili ni kweli na tunatakiwa tubadilike sana

Nikiwa chuo, ukiingia chooni hukosi maandishi na masinki kupasuka. Nilikuwa napata shida sana kujua aina ya watu tuliokuwa pale chuoni na vile tunajiita wasomi

Huruma sana
Nkwa mbia waafrica popote wakikutana zaidi 50 basi mahala pale hata hujaambiwa utajua tu kuwa hapa kuna wazungu au waafrica huhitaji kuuliza kabsa
 
Nenda mwendokasi, si wanawake au wanaume wote hawataki kupanga foleni hapo ndio utaona kipimo Cha ustaarabu wetu.
Ushawahi enda bank mkuu? Unakuta kuna viti kabisa lakini itakulazimu usimame lisaa lizima foleni kwa sababu ukikaa basi atakayekuja ataenda moja kwa moja na kumuondoa hapo alipofikia bila msaada wa wahudumu wa hapo bank mnaweza kugombana sasa kuepusha hayo wewe simama tu kama mnyama maana hatuna ustaarabu.

Ajabu kwenye foleni za nida hadi tulikuwa tunapangwa na kusimamiwa na mgambo Imagine!!
 
lazima awepo asiyestaarabika ili aliyestaaribika aonekane.

tajiri yupo (anaonekana) kwa sababu kuna masikini
 
Hivi hakuna Mwafrika mweupe?
 
Hakuna tabia iliyo ndani ya mtu, sababu binadamu ni adaptable creatures. Au viumbe tunaobadirika kuendana na mazingira. Watanzania na Waafrika wengi wako na tabia za hovyo sababu ya umasikini tu, pia ume-shape na tamaduni zetu. That's it. Siku tuki-advance kiuchumi basi hizo tabia nazo zitaondoka. Na kibaya huwezi ona uchafu wa hizo tabia kama umekulia mazingira hayo.

Proof ni tabia za tajiri na masikini kutoka hapahapa, ni tofauti kabisa.
 
Elimu haijatusaidia kuwa wastaarabu
Elimu sio factor ya ustaarabu. Ni mazingira na tamaduni. Hata uwe na PhD 3, kama ulikulia shamba basi utaishi kama mkulima na hautojua. Nadhani mazingira yana effect pia na consciousness level. Kuna watu ukiangalia wanavyoishi unaweza sema ni wanyama pori wanaoongozwa na instincts.
 
Kwaiyo wahindi nao hawana tofauti na sisi true sons of the soil?😆😆
 
MKUU wetu wa shule alienda ulaya kisha china, aliporudi alituambia "ni either sisi au wazungu", mmojawapo sio BINADAMU KABISA.....🥲
Kama ukiangalia ramani ya Dunia basi utaona Africa ndio the most isolated, haswa huku South. Europeans na Asians wametenganishwa na milima tu, hivyo ilikuwa rahisi kutengeneza muingiliano. Na factor mojawapo ya kutengeneza advanced civilization ni hiyo hapo. Ukijumlisha na ugumu wa mazingira yao, it make sense wao kuwa na advanced civilization zaidi ya Africa hasa kushuka South. Sio simple subject kama most wadhaniavyo.

Kinachonisikitisha zaidi ni huyo mwalimu wako kuja na conclusion weak namna hiyo juu ya the most complex topic kama hiyo. Eventually, na yeye ni walewale tu, na ana-fit hiyo description perfectly.
 
Jibu ni Mazingira na Umasikini. Hilo ndio jibu msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…