Kubaka:msichana mwenye u18 aliye na mtoto

Kubaka:msichana mwenye u18 aliye na mtoto

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Sheria ya kubaka inasema nini iwapo mwanaume atatembea na msichana mwenye umri chini ya miaka 18 lakini akiwa alishazaa na mtu mwingine(ambaye tuseme alimbaka na yuko gerezani kwa kosa la kubaka)

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kubakwa kunaweza kutafsiriwa kwa namna nyingi tofauti.

Mojawapo ni "mwanaume akikataa kuvaa mpira wa kiume na kumwingilia m'mke hata kama walikubaliana kula tunda". Hapo kutokukubali kukidhi hitaji la mwenza la kuvaa mpira linachukuliwa kama "kubaka". Pitia mashitaka ya ubakaji yanayomkabili jamaa wa wikileaks (Mr. JA).

Pia kama "tendo" lilifanyika kwa nguvu bila kujali umri hiyo ni ubakaji!

"If someone is raped, they are forced to have sex, usually by violence or threats of violence."

"Rape is the crime of forcing someone to have sex."
 
Sheria ya kubaka inasema nini iwapo mwanaume atatembea na msichana mwenye umri chini ya miaka 18 lakini akiwa alishazaa na mtu mwingine(ambaye tuseme alimbaka na yuko gerezani kwa kosa la kubaka)

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Kufanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18 ni ubakaji kisheria,
inakuwa pre assumed kuwa hana consent ya kukukubalia.
Haijalishi amezaa baada ya kubakwa kabla,au la!
 

If a husband can rape his wife under the ground of sex to be played with no wife's consent wether she is suffering, she feels not sex what about a mare defense of a girl had born whilst under 18 years old? A general rule pre assumes under 18 to have no conset unless you raise a defend of being had mislead by a herself over 18.An exption is only for married couples though is 15 old since there is a consent
 
Nyongeza ya hayo mkuu kumsaidia zaidi ni kwamba kasema mwanamke kufanya tendo la sex na msichana mwenye umri chini ya kumi nane lakini ana mtoto kutokana na kubakwa. Lile tendo la kuwa mtoto aliyetokana na kubakwa halimuondolei sifa ya kuwa chini ya miaka 18. kwanza umesema mtoto huyo alizaa kutokana na kubakwa. Kwa maana hiyo hakuzaa kwa hiari yake bali kwa kubakwa. Kwa hiyo bado anaendelea kuwa mtoto kisheria na endapo utafanya tendo la kulala naye bado utatiwa hatiani kwa kumbaka mtoto wa miaka chini ya 18

tafsiri ya msichana chini ya miaka 18 mwenye mtoto maana yake ni mtoto ana mtoto, hivyo kuwa chini ya miaka 18 na ameshazaa hakumwondolei hali ya kuwa mtoto kisheria. msimamo wa sheria za tz ni kwamba ukifanya mapenzi na binti chini ya miaka 18 ambaye si mkeo, hata kama amekubali/amehiari haujamlazimisha hiyo ni statutory rape, yaani rape inayotafsiriwa na sheria na adhabu yake ni sawa tu na wabakaji wale wa vichakani wanaobaka mwanamke yeyote.

kinachoangaliwa kwenye kosa la rape ni je? msichana yuko chini ya miaka 18 au juu ya miaka hiyo? je?alihiari au amelazimishwa kama yuko juu ya 18? na je, penetration hata kama ni kidogo tu imetokea?....nikisema penetration ni kwamba, ili kuprove rape there must be penetration however slight, yaani hata kichwa cha uume kikiingia walau kasentimita kamoja tu maadamu ulishaanza kuingia/kupenye kwenye njia ile tayari kosa limetendeka hata kama mbakaji hajaendelea kubaka labda amekurupushwa amezidiwa nguvu n.k.

vilevile tunaposema "msichana chini ya 18 kama si mkeo" tunasema hivi kwasababu kisheria tz msichana mwenye miaka chini ya 18 lakini si chini zaidi ya 15 anaweza kuolewa ila kwa ridhaa ya wazazi/walezi wake. vilevile mazingira mengine msichana mwenye umri wa 14 anaweza kuolewa ila si kwa ridhaa yake wala ya wazazi bali kwa uamuzi wa mahakama pale suala hilo likipelekwa mahakamani na makama ikaona kuna umuhimu msichana huyo aolewe, inaweza ikawa hivyo.

kupata kitabu bora kilichoongelea haya yote kwa undani kabisa, pamoja na sheria yote ya ndoa tena kwa kiswahili fasaha, bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI
 
Back
Top Bottom