KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Tendo la kubaka katika baadhi ya makabila sijambo geni kwani ilikuwa ndiyo mila na desturi ya wakati ule nakwa hata vitabu vya dini vinaelezea!!jinsi walivyokuwa wakiwasubiri visimani nakuwabeba hadi vyumbani mwao!!
Kuna kabila ulikuwa ukimtaka msichana unavizia kwenye kichaka na ma baunsa wako kama ulikuwa uwezikumbeba na akishaingia ndani nikwamba umeoa,na awezikuolewa kwingineko kwani alijulikana used product! na wazazi wake walijua ikifika mpaka saa moja ajaja wanajua mwanetu kaishapata mwenzake!!hivyo wanasubiria kusikia ninani kabeba mzigo!!Husumbuki sijui bestbite subway nakwingineko no!Lakini kuna baadhi ya makabila bado wana tabia hiyo kama wamasai!
Ingekuwa huku mjini mbona watu wangevurugana!!
Kuna kabila ulikuwa ukimtaka msichana unavizia kwenye kichaka na ma baunsa wako kama ulikuwa uwezikumbeba na akishaingia ndani nikwamba umeoa,na awezikuolewa kwingineko kwani alijulikana used product! na wazazi wake walijua ikifika mpaka saa moja ajaja wanajua mwanetu kaishapata mwenzake!!hivyo wanasubiria kusikia ninani kabeba mzigo!!Husumbuki sijui bestbite subway nakwingineko no!Lakini kuna baadhi ya makabila bado wana tabia hiyo kama wamasai!
Ingekuwa huku mjini mbona watu wangevurugana!!