Jana nilkuwa nasikiliza online radio na Kafulila akachafua hali ya hewa kwa kutumia neno kubaka bahati mtandao ukawa dhaifu na sikuweza kuelewa mwisho wa malumbano na kiti.
Naomba tulijadili hili neno ili kuona kuwa ni sahihi kutumika au ni umbumbu wa busara za kiti.
Naomba kutoa hoja.
Naomba tulijadili hili neno ili kuona kuwa ni sahihi kutumika au ni umbumbu wa busara za kiti.
Naomba kutoa hoja.