kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 63
Hawapendi hata kidogo ila wanalinda ndoa kweli kutokana na mfumo dume ktk nchi za kiafrica we mwenyewe mkeo akibakwa utamtaka tena? au unajishaua tu hapa ni asilimia ndogo sana ya watu wanakubaliana na hali hiyo, Ujue hili siyo masihara mf mke wa mweshimiwa mmoja alibanchuluwa na dr wake mpaka leo imebaki historia ya ndoasio wanapenda tu wanona utamu pia ndio maana hawasemi.it doesnt make sense eti unabakwa na dokta then unakaa kimya kulinda ndoa yako
Hamna anayefurahia kubakwa,utackiaje utamu bila kujiandaa? Hata ukiw a tu na mpenzi wako lazima mjiandae la cvyo hamtaenjoy. Sema na serikali yetu itilie mkazo,maana mtu wa kesi ya kubaka-unashangaa unaambiwa ulitaka mwenyewe na ndiyo maana watu hawasemi kwa kuogopa aibu mtaani. Ila wanaume jamani!! acheni kubaka ni aibu na ni ukatili!!
hivi kuna sheria zinazowalinda wanawake Tanzania??
ningependa kujua hili kwanza...
Bold: Akiwa Msagaji?!!Mi ndio maana nina mkataba wa mke wangu. Ni lazima atibiwe na daktari wa kike. Period!
Wahanga wengi hawapewi sapoti kuishinda hali hiyo.... na wengi huishia kuachwa!! ndo maana nchi zilizoendelea... mke hapewi huduma bila mume kuwepo ndani au mme kuona kupitia CCTV!!Wanawake wa tanzania linapokuja suala la kubakwa hawana ubavu wa kuzungumza kabisa sijui kwa nini???????
basi kama ni kweli wanapenda iweje wakae kimya si wanafurahia?? Kama sivyo kwa nini wasikate then wawashitaki??