Kubali ama kataa, ukweli ni kwamba kwa hapa Tanzania mtu asiyejua Kiingereza hajaelimika

Kubali ama kataa, ukweli ni kwamba kwa hapa Tanzania mtu asiyejua Kiingereza hajaelimika

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuelimika na kujua kiingereza hapa nchini kwetu. Kwasabb lugha yetu ya kufundishia ni kiingereza.

Hivyo ili mtu aweze kuipata elimu kwa kiwango kikubwa lazima aifahamu vema lugha ya kiingereza maana ndiyo iliyobeba taarifa zote zinazotakiwa na mwanafunzi. Kama mwanafunzi atakuwa hajui kiingereza ni dhahiri.kwamba kuna kitu atakikosa.

Wachina, wajapani na warusi wanatumia lugha zao kufundishia ndiyo maana wao kiingereza hakina umuhimu kwenye kuelimika.

Baba wa taifa JK alikifahamu vema kiingereza ndiyo maana aliweza kukitumia kupigania Uhuru wa nchi yetu bila bunduki. Alikuwa na ushawishi kwa wazungu.

Jiwe ndiye aliyekuwa na uelewa mdogo kuliko marais wote waliopita ktk taifa hili. Hakuna alichokuwa anakifahamu zaidi ya ubabe. Maana kwenye maisha yake alichojifunza na kukielewa vema ni ubabe wa kuswaga ng'ombe.
 
Na magufuli na yeye ka-search dissertation yake uone alivyoandika kwa kiingereza kilichonyooka.
Rubbish!!!!!
Aliandikiwa na Dr. Akwilapo. Ndiyo maana Dr. Akwilapo alizawadiwa ukatibu mkuu. Kasome andiko la Ben Sa8 (RIP)
 
Hivi umesoma philosophy kweli wewe??
Huwezi kutumia ndio maana ety iwe kigezo cha kitu hicho kuwa kweli acha uzuzu.
Hiyo ni falacy wanatumia wajinga kama wewe.
Wewe utakuwa muuminii wa jini jiwe ndiyo maana huamini. Dr. Akwilapo kahongwa cheo kwa kumuandikia jiwe andiko la PhD
 
I often wonder! Someone can use Swahili to challenge those who don't know English well like me.

Please! use English to become a role model, when you want to challenge Tanzanians who try to use English mistakenly. We need to learn English from those haters as well.

It's a wastage of time, and non-sense to use Swahili saying that, Tanzanians don't know English well.

Why can't you use English to explain about your opinion, in order to enable us to learn from you? Show us your level of English please!
 
I often wonder! Someone can use Swahili to challenge those who don't know English well like me.

Please! use English to become a role model, when you want to challenge Tanzanians who try to use English mistakenly. We need to learn English from those haters as well.

It's a wastage of time, and non-sense to use Swahili saying that, Tanzanians don't know English well.

Why can't you use English to explain about your opinion, in order to enable us to learn from you? Show us your level of English please!
Sababu ni kutaka ujumbe uwafikie watu wengi zaidi. Upo hapo?

Soma mada zangu zikizobandikwa kwa kiingereza ujifunze misamiati na uandishi bora kwa lugha hiyo
 
ukweli mchungu ni kwamba, kuelimika atakuwa ameelimika, ila hatakuja kuwa na ujasiri wa kuexpress elimu yake. hapo ndio maumivu.
 
Elimu wamekariri, na hicho kiingereza wanachoongea wamekariri. Mabumunda matupu.
 
Aliandikiwa na Dr. Akwilapo. Ndiyo maana Dr. Akwilapo alizawadiwa ukatibu mkuu. Kasome andiko la Ben Sa8 (RIP)
Mkuu kuthibitisha kuwa wewe huandikiwi jibu hoja kwa kiingereza "kilichonyioka"
 
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuelimika na kujua kiingereza hapa nchini kwetu. Kwasabb lugha yetu ya kufundishia ni kiingereza...
Dah!!! Kwanza kabla sijaandika chochote ningependa kuhakiki kama ulicho andika ndicho ninachokielewa mimi. Unaposema mtu kaelimika huwa unamaanisha nini. Au elimu maana yake nini?
 
Back
Top Bottom