Kubali ama kataa, ukweli ni kwamba kwa hapa Tanzania mtu asiyejua Kiingereza hajaelimika

I scratched my nape, then penetrated a finger to the vulva of female genitalia of a cute girl. She groaned in a flaunting manner indicating climax of pleasure.
Mkuu unauhakika kuwa pachu pachu ndio vulva ?
 
Hey! nigga from da Bush hoo! much u gonna pay me fo4 dis primitive nasty job jargon am gonna do????!
Mtoa mada smedunda, ameokoteza maneno ya hovyo hovyo na kuafsiri.
I scratched my nape, then penetrated a finger to the vulva of female genitalia of a cute girl. She groaned in a flaunting manner indicating climax of pleasure.
 
Kuna mwamba mmoja alikuwa anaumwa... Nikamuuliza " what r u suffering from" akanijibu 'Town'..

Nilichukua dakika 2 kumuelewa.. aisee nilipofika nyumbani nilicheka kama chizi.

Najua hata nyie hapa hamtaelewa kirahisi.
 
Yote kwa yote lugha hii waTZ inatutesa sana. Labda kizazi hiki cha English Medium kitakuja tufutia aibu.

Imagine Rais anasoma tu mahotuba...hata mambo ambayo inabidi aongee yeye live..anasoma. sio poa.
 
Kwa kiasi fulani alituswaga kwa kweli, kama ng'ombe, ukiwa mkaidi, unachinjwa!
 
Huijui vizuri kwenye upande gani?

Maana tatizo kubwa la watanzania ni kushindwa kuongea na kuandika vizuri ila wapo wengi wenye kujua kusoma kiingereza na wakaelewa na pia wanaweza kusikia kiingereza na kuelewa, sasa hayo ya kutoweza kuongea vizuri yana sababu zake na ndio maana wapo watu wanaandika kiingereza vizuri na wamekariri mi grammar kushinda muingireza ila kiingereza cha kuongea ni shida hawezi kuongea vizuri.

Jaribuni kuangalia hivi vitu msitoe tu majibu ya jumla jumla.
 
Shida ya sisi watanzania sio kwamba sehemu ya ubongo kuhusu kiingereza imepooza. La hasha. Shida ni kuwa practice wapi unafanya. Kila ukigeuka kila mtu anaongea Kiswahili.
Sasa utamudu vipi lugha kama inapita miezi 6 au 12 hujaongea na mtu.
 
Kuendelea kupiga bomu montuar ni kupoteza silaha za bure.

Pambana na walio hai.
 
Kuendelea kupiga bomu montuar ni kupoteza silaha za bure.

Pambana na walio hai.
Kijeshi inapigwa tu!! Mortually inaweza tumika km maficho ya adui!......hatuwezikudharau mortually department! labda km huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…