Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Vijana wa Makumbusho na Ununio wamei hack ili kuona kwenye private sms ni kina Nani ndio huwa wanampelekea taarifa nyeti na kumwambia hide my Id, Sasa wale Wote team hide my ID wamekwisha
Navofahamu mkuu wanamtumia kupitia WhatsApp na sio insta so ebu niweke wazi wanakuaje katika hatar??
 
Navofahamu mkuu wanamtumia kupitia WhatsApp na sio insta so ebu niweke wazi wanakuaje katika hatar??

Wapo wanaomtumia kwa direct sms pia ya Instagram, Sasa Kama alikuwa hafuti zile sms wameumia maana wengine walikuwa ni Watu Wakubwa tu wanaopinga juhudi za Mh.Rais
 
Kuna picha ali-post juzi saa 2 asubuhi kwa saa za huku kwetu na alii-post kwa dakika 5 tu kisha akaifuta(kuna mwanamke mwanzake walikuwa wanaumbuana mtandaoni) nahisi ndio inaweza kuwa chanzo cha Instagram kufunga account yake au vinginevyo imekuwa hacked.

Ile picha ilikuwa ni balaa maana iliweka wazi visivyostahili kuwekwa wazi ila nadhani hasira za kujibizana na kutukanana mtandaoni zilimpelekea kumumbua mwenzake kwa kiwango kile.

Mtu sijui unakubalije kupigwa picha kama ile na binadamu mwenzako hata kama ni mpenzi wako.
 
Ndo anahoji kwa kutukana ??? Hatuend hvyo
 
Ndo anahoji kwa kutukana ??? Hatuend hvyo
Nadhani na stress zake zinachangia lakni point ni kuwa anahaki ya kuhoji na kufichua maovu ambayo yapo kama mwananchi mtiifu wa nchi
 
Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Acha zako. Instagram n chanzo kizuri cha taarifa mbalimabili, inategemea umefollow page gani. BTW tuambie wew unatumia mitandao gani ya kijamii ambayo iko kiume zaidi
 
Hana kipya kwa sasa, hana habari hot kama zamani, sikuizi kaonekana wa kawaida kama Mh Mrema, upepo umebadilika anatamani kusifia hawezi, anabaki kuwa mshauri na kuhamasiha machafuko

Hebu tuambie instagram nani mwenye habari hot kuliko Mange ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…