Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa


wewe una akili SANA. yaani mtu anayeiba taarifa za siri za nchi na kuziweka wazi ndiye wanayemtukuza. hawajui hata wao ikitokea wako madarakani anaweza kuiba taarifa za siri za serikali yao na kuwapa watu hatari. watu kama hawa ni wa kuwaogopa kama ukoma.
sijui kwa vijana wa sikuhizi kama mliwahi bwana mmoja alikuwa anaitwa Okelo from Uganda. huyu bwana alikuwa mastermind mzuri sana kufanya mapinduzi. alikuwa na wasifu uliotukuka. hata kuipindua serikali ya sultan wa Zanzibar akifanya kazi nzuri SANA. lkn baada ya mapinduzi akataka aendelee kuishi kisiwani Zanzibar. rais wa kwanza wa Zanzibar akamkatalia akasema hapana wewe chukua ujira wako uondoke. alimkatalia maana alijua ya kuwa huyu mtu akijiwa na yeyote na kumshawishi kuipindua serikali yetu, yeye atakubali.
ndivyo itakavyokuwa kwa huyu mwizi wa taarifa. hatashindwa kuiba taarifa toka kwenu na kupeleka kwa michepuko.
 
Sijui hata huko Instagram unaingiaje!

Na sina haja ya kuingia ilhali kuna ma sugarboys kama Salary Slip wanaoingia huko na kutuletea kinachojiri huko.

I stay put in my JF.

hivi malaria sugu yuu wapi siku hizi??
 
NB: Mods, thread inayosema page ya Mange ni talk of the town haijaandikwa leo, page ya Mange imefungwa leo hivyo vitu viwili ambavyo sijaelewa kwanini mnalazimisha kuunganisha iwe thread moja au ndio mambo ya ngazi za juu?

Wakuu,

Mange Kimambi amefunga page yake kwasababu ambazo hajaziweka wazi.

Hivyo wapenda ubuyu wote kutoka kwa Mange hatuna haja tena ya kuingia Insta. Tunafuta app yao
 
Vyuma vimekaza aisee Mzee wa frustration ata wa frustrate watu wengi sana mwaka huu na miaka ijayo
 
Mange Insta tulikupenda ila America imekupenda zaidi.

Rest in California
 
Mmh,kufutwa kwa account ya mange insta imenisononesha mwee,.ntakuwa naingia kwa mwezi Mara 2 sasa looh,..ntakomaa tuu na jf yangu.
 
Vijana wa Makumbusho na Ununio wamei hack ili kuona kwenye private sms ni kina Nani ndio huwa wanampelekea taarifa nyeti na kumwambia hide my Id, Sasa wale Wote team hide my ID wamekwisha

sasa kama walikuwa na uwezo huo, mbona wamemchelewesha SANA? ona umaarufu alioupata SASA. haina shida maana umaarufu kaupata toka kwa mazuzu.
 
Alikuwa anachangisha pesa za matibabu ya Lissu, kesha pata CHAKE , kaona bora afunge akaunti yake ili wasimsumbue!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…