Kubali kataa,,Malecture wa UDSM, Ardhi na DIT wanashinda St Joseph

mwasambili

Senior Member
Joined
Oct 28, 2013
Posts
151
Reaction score
77
Nimeshangaa sana hapa st joseph department ya civil engineering, karibu malecture wote wa civil engineering wanatoka vyuo hivyo tajwa haga juu.

Ns kama mjuavo hapa kwetu masomo huwa yanaisha jioni sana kimsingi wanajitahidi kwa kufundisha.

Swalo langu la msingi, ni je kazi za vyuoni kwao huwa wanafanya sa ngapi? achilia mbali faculty zote za it, electrical, mechanical ambazo ni wahind tu ndio hufundisha.

Nawasilisha
 
Engineering sio lectures tu, kuna tutorials na practicals. Hata ivo huku pia hatukosi mapindi vile vile kwahiyo mi nadhani huwa wanakuja wakipata free time. Af malecturer ni weeeengi, so sio wote wanaokuja huko kuwapigia tuition.
 
lusungo,,swali langu majukumu ya kiserikal
i wanayafanya xa ngap
 
Last edited by a moderator:
Hata hao mawaziri Mizigo Udsm na Ardhi ndiko walikosoma kweli Udsm ni chuo bingwa kwa kufyatua mizigo. Kuna siku nitaandika kitabu how Udsm under developed Tanzania.
 
Mishahara midogo , maisha nayo kila siku yanapanda, acha watengeneze vipato vya ziada, nawaunga mkono isipokuwa wasisahau majuku yao vyuo wanavyotoka
 
mkikosa walimu mnalalamika...mmepata walimu wa muda...unalalamika, kwa siku kama ana kipindi kimoja UDSM kwa nini ashindwe kuja kupiga PIndi moja hapo kwenu

Mwalimu wa primary mwenyewe saa nane kesharudi home,,,,mbona waume zao hawalalamiki?
 
Kijana unaonekana ni jinsi ulivyo na upungufu mkubwa wa akiri,mmeletewa ma lecture wa ziada bado unalalamika,pumbavu acha kulalamika soma usije ukapigwa break.
 

malecture au lecturers.!?, kweli wewe elimu haijakukomboa, ina maana akitoka UD au DIT kwenda kufundisha st. joseph ni tatizo, unawafaham flying lecturers wanaosafiri dunia nzima kutoa lectures kwenye different universities duniani.!? kwahiyo wewe ukaona hao wananjaa sana eehh wakati hiyo ndo system ya vyuo vikuu ndo maana ikaitwa UNIVERSITY, fungua ubongo huo
 
We tulia usome
usiangalie Mwl katoka wapi na ni nani
unaweza kukuta unafundishwa na Tutorial ass wenzako UDSM wana Prof
Wakati hata kwenye Siasa Mwigulu yuko ziarani na Nape jini yupo Dodoma kwa Bunge la asubuhi
auMnyika asubuhi yupo ugeni Dodoma jioni yupo Kibaha Kibangu na Helkopta
 
bado wengi hamjanielewa,,namanisha wanashinda st joseph asubuhi mpaka jioni,,je wanalipwa mishahara ya serikali pasipo kufanya kazi.
 
Tumevamiwa jamani humu JF leo hii msomi anauliza swali kama hili ? Absolutely we are in transition era. May God protect JF
 

hajielewi huyu bila shaka
 
Karibu JF, ukiuza utumbo usiogope nzi.
 
Lecturers mmekuwa wakali kwenye huu uzi. Mleta mada kawashika vibaya. Mimi mda siyo mrefu nitaunda tume kubaini hili jambo lina ukweli. Ukweli ukijulikana, haki stahiki itatolewa kwa wahusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…