Kubali uteseke muda mfupi leo ili uishi maisha marefu na ya starehe kesho

Kubali uteseke muda mfupi leo ili uishi maisha marefu na ya starehe kesho

yan kwa genius kama mm uwezi kunilisha matango pori kama hayo

kila kitu mipango na kucheza na time tu....muda wa muvi kandamiza muv kama kawa...muda wa kugegeda wew gegeda tu as always na last muda wa ku focus una focus.
na mambo yanaenda
 
Asante sanaa kaka kwa ujumbe mzuri, kwa yeyote mwenye utambuzi wa kifikra atajijenga kupitia post hii.. binafsi nimepata kuongeza kitu hapa,
 
"mwanadamu hakuna kitu kipya utakachomfundisha,ni kumkumbusha tu."
Basi na mimi nimewakumbusha tu.
 
umesema kweli, mfano ukiwa shule unatakiwa uteseke kukomaa na shule, ukiwa kazini utakula bata. na pia ukiwa kazini uteseke kusave, ukipata pesa nyingi unaanzisha biashara, ukiwa na biashara inabidi ujinyime ili biashara yako iwe kubwa. yaani maisha ni kiteseka, kujinyima na kujibana. hapo mambo yako yatakuwa mazuri. mifano iko mingi, mfano wakina mangi wanaanza na duka moja wanajinyima baada ya mida wanamaduka matatu, hivyo hivyo wakinga kariakoo wanajinyima sana mpaka wanatusua maisha.
 
80% au zaid ya watz wanapenda kujionyesha kuwa wa hela, au kufanya vitu ambavyo si level yao unalipwa500k kwa mwezi then inajibana unakuja kununua subaru
 
Usiamini sana story za waliofanikiwa 99 percent wanatuongopea ukweli kuhusu utajiri wao,wapo watu wanajishughulisha wataalamu wa kunyima lakini miaka inaenda bado wako pale pale ushauri wangu jikune mkono unafikia ndio karama yako hiyo Mungu alipo kupimia sasa usidanganywe na "kujiongeza" unajua maana yake?
 
Back
Top Bottom