Kubana mafuta

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Wakuu naomba kuliza hili swali, jana nimekaa na dereva mmoja alinishauri nisije nikashuka mlima wowote na nikajaribu kushuka free bila kukanyanga mafuta kwa dhumuni ya kubana mafuta ,ananiambia nina uwa gari je wakuu hili jambo ni kweli? Naomba ushauri wenu nashukuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haishauriwi kuteremka mteremkoni na gari likiwa Neutral....unauwa gia box kwa gari ambazo ni auto..
Vile vile unaweza kufa...kwa sababu gari linakosa kitu kinaitwa engine braking....

Kama mteremko ni mkali weka gear lever kwenue Low gear na si neutral ili upate engine braking......

Kwenye mteremko engine brakingg inasaidiana na brake za kawaida kulizuia gari...

Gari lako likiwa neutral ina maana utakuwa unategemea break za kwenye magurudumu kwa 100% kitu ambacho ni hatari dana....disc zinaweza ku.. overheat na kuplekea mifumo ya brake kufeli...

Hapo tutakuimbia buriani kwa kubana vimafuta ambavyo havijai kibakuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Watu wengi wenye auto cars wanajua kutumia P,R,D only,ukiwauliza matumizi ya L/1,2,3 wanaona kama unajifanya mjuaji.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…