Ndugu wadau naomba mnisaidie kwa hili, baadhi yetu tunamtindo wa kumwaga nje ili kujiepusha kuumpa huyo mwenzi wangu mimba ambayo hatukuitarajia, sasa wakati nakaribia kupiz huwa ninatoa mashine nje na kuibana kichwa chake ili kuzuia mbegu zisimwagie, je hiyo ina madhara yeyote katika mishipa ya uume???????????